Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,545
- 29,617
Wanabodi, kwa wanaoishi ama kuelekea maeneo ya kigamboni mtakubaliana nami ktk hoja yangu hii.
Awali ile kona ya Ocean Rd Hospitali kuliwekwa bango (la majaribio) kuzuia magari kupita nyuma ya ikulu kuanzia saa 12 jioni hadi saa 12 ahsubuhi, hali hii imesababisha usumbufu kwa magari yanayokwenda feri hasa yanayovuka kwani ile junction ya soko la samaki kuna kuwa na vurugu kubwa ya magari nyakati hizo za kuanzia saa 10 hadi saa 3 usiku. Mantiki ya katazo hilo haikuwekwa wazi ambapo labda nikahisi ni masuala ya kiusalama (ingawa eneo lenyewe la ikulu limezungukwa na vibaka wenye njaa kali)
Hivi ninavyoandika hapa leo, ile barabara ya Ikulu imefungwa kabisa kwa magari kutopita muda wowote. Cha ajabu ni kwamba haijulikani amri ya kuifunga ile njia imetoka kwa nani na kwa sababu zipi.. Kuna mambo kadhaa niliyawaza hapa
nani nyuma ya hii dhihaka?
Awali ile kona ya Ocean Rd Hospitali kuliwekwa bango (la majaribio) kuzuia magari kupita nyuma ya ikulu kuanzia saa 12 jioni hadi saa 12 ahsubuhi, hali hii imesababisha usumbufu kwa magari yanayokwenda feri hasa yanayovuka kwani ile junction ya soko la samaki kuna kuwa na vurugu kubwa ya magari nyakati hizo za kuanzia saa 10 hadi saa 3 usiku. Mantiki ya katazo hilo haikuwekwa wazi ambapo labda nikahisi ni masuala ya kiusalama (ingawa eneo lenyewe la ikulu limezungukwa na vibaka wenye njaa kali)
Hivi ninavyoandika hapa leo, ile barabara ya Ikulu imefungwa kabisa kwa magari kutopita muda wowote. Cha ajabu ni kwamba haijulikani amri ya kuifunga ile njia imetoka kwa nani na kwa sababu zipi.. Kuna mambo kadhaa niliyawaza hapa
- Labda eneo la mbele/nyuma ya Ikulu ni eneo hatari ama hatarishi kwa usalama wa mkuu wa nchi hivyo imetangazwa hali ya hatari kwa kipande hicho...
- Labda kwa sababu kuna uwezekano wa mambo ya kizani kuendelea kutamalaki hivyo kuzuia magari ni njia muafaka ya kufanikisha hayo
- Labda mamlaka ya Jiji inajipendekeza kwa mkulu
nani nyuma ya hii dhihaka?