ukitaka kukata gogo hapo lazima uwe na mshikaji wa kukupigia chabo...
Umenikumbusha enzi zangu nikiwa shule
Ooooh thats sound so sweet jamani.Kwanini umefunga nahii yako sasa kama nina siri nataka kukwambia nitafanyaje?
Ooops :confused2:!!!
Hiyo makitu huwa imefungwa full time baada ya kujua inatumiwa na raia ndivyo sivyo...
Oooooh jamani sasa hao raia nikiwapata nitawachapa atiiii!!!
Hahah...that's funny