Dhihaka:Ati hiki ni choo cha wanafunzi

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,632
697,751
1417706455131.jpg
 
ukitaka kukata gogo hapo lazima uwe na mshikaji wa kukupigia chabo...
 
Mbunge wa huko awajibikie gharaka iwezekanavyo.

Wadogo wanaweza dumbukia chooni, hapo sakafuni sipaamini panaweza didimia muda wowote
 
Nchi yenye rasilimali kibao mpaka watu wanagawana billions lakini vyoo vya shule tunashindwa kujenga kwa kweli hii serekali ipumzike hakuna mahali imeweza.
 
Back
Top Bottom