Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,469
- 1,697
Kwa upande wa ZNZ ktk kura Uraisi wa muungano EL alimshinda JPM.
Ndiyo maana wapo wanaoamini kwamba CUF na Maalim Seif walishinda uchaguzi wa ZNZ ili wakadhulumiwa.
Sure nakubaliana na Hao wanao amini kuwa Malim Seif na CUF ameshinda.
Wewe unategemea nini kutoka kwa kiongozi wa CCM. Kwamba akubali kuwa CUF imeshinda ili kuwe na serikali halisi mbili? Hiyo sahau! Hawa jamaa wa CCM unawajua tena hawataki kushindwa. Ku-force mambo ndiyo nyumbani.
Hiyo mbona inajulikana? Generation iliyo lelewa na Nyerere mbona ni shida sana! Hatujui kutatua matatizo kidemokrasia. Ubabe lazima utumike. Hatujajifunza kingine. Tumelelewa hivyo na tutabaki hivyo na ndiyo maana tukipewa madaraka ya kuongoza ofisi unafikiri ndiyo yetu na kujiona sisi ndiyo watemi. Labda kidogo sisi tulio watembelea na kuishi na wazungu kidogo tunaweza sema tuna mwamko mwingine.