Kuna mjadala hapa dw redio(swahili service) juu ya ukabila nchini tanzania,,,,wapo wanaosema kwa sasa upo,,,na sababu ni ubinafsi ndo maana baadhi ya ofisi unawakuta watu wa kabila fulani ndo wamejaaa na si wengine(akoding to watoa mada),pia wanajadili kutokuwepo kwa uwiano wa kimaendeleo(mikoa kwa mikoa),,,,,
tune rfa na redio zinazojiunga na dw redio,,,nasi twaweza jadili hapa
tune rfa na redio zinazojiunga na dw redio,,,nasi twaweza jadili hapa