Stabilaiza
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 1,843
- 1,143
Nadharia ya njama (Conspiracy theory) ni nadharia inayotumika kuelezea hasa hasa matukio mabaya yaliyopangwa.
1. Conspiracy theory: a belief that some covert but influential organization is responsible for a circumstance or event (Oxford Dictionaries).
2. Conspiracy a theory: Explains an event or set of circumstances as the result of a secret plot by usually powerful conspirators (Dictionary and Thesaurus | Merriam-Webster)
Mara nyingi dhana hii inatumika katika siasa na inahusisha matukio makubwa makubwa. Kwa mfano kupigwa na kuangushwa kwa Word Trade Center, Marekani huelezewa na baadhi ya watu kwa dhana hii ya Conspiracy. Inatumika katika matukio ambayo yanatia shaka na kuna-lead fulani ya mashaka hayo. Hapa Tanzania kuna vifo vya wanasiasa ambavyo vimehusishwa na dhana hii. Mfano ni mauaji ya Soweto Arusha, Mauaji ya Igunga na kifo Cha Wangwe aliyekuwa Chadema.
Mauaji ya polisi wanne yanakidhi kuelezezwa kwa dhana ya njama kwa sababu ya uharaka wa Polisi kusema kuwa yanauhusiano na UKUTA, bila hata kujipa muda wa kutosha kuchunguza. Vilevile kuna mwanasiasa ambaye mara nyingi amekuwa akihusishwa na matukio ya Conspiracy. Na kwa kweli huwezi kuzuia watu kuwa na dhana hii kwa sababu Mungu amempatia mwanadamu akili ya utashi ikiwemo kufikiri kwa uhuru. Hivyo hakuna mwanadamu yeyote anayeweza kuzuia alichokianzisha Muumba wetu.
1. Conspiracy theory: a belief that some covert but influential organization is responsible for a circumstance or event (Oxford Dictionaries).
2. Conspiracy a theory: Explains an event or set of circumstances as the result of a secret plot by usually powerful conspirators (Dictionary and Thesaurus | Merriam-Webster)
Mara nyingi dhana hii inatumika katika siasa na inahusisha matukio makubwa makubwa. Kwa mfano kupigwa na kuangushwa kwa Word Trade Center, Marekani huelezewa na baadhi ya watu kwa dhana hii ya Conspiracy. Inatumika katika matukio ambayo yanatia shaka na kuna-lead fulani ya mashaka hayo. Hapa Tanzania kuna vifo vya wanasiasa ambavyo vimehusishwa na dhana hii. Mfano ni mauaji ya Soweto Arusha, Mauaji ya Igunga na kifo Cha Wangwe aliyekuwa Chadema.
Mauaji ya polisi wanne yanakidhi kuelezezwa kwa dhana ya njama kwa sababu ya uharaka wa Polisi kusema kuwa yanauhusiano na UKUTA, bila hata kujipa muda wa kutosha kuchunguza. Vilevile kuna mwanasiasa ambaye mara nyingi amekuwa akihusishwa na matukio ya Conspiracy. Na kwa kweli huwezi kuzuia watu kuwa na dhana hii kwa sababu Mungu amempatia mwanadamu akili ya utashi ikiwemo kufikiri kwa uhuru. Hivyo hakuna mwanadamu yeyote anayeweza kuzuia alichokianzisha Muumba wetu.