Dhana ya Mlo (Dish) kati ya nchi zilizoendelea na Africa

Truth Matters

JF-Expert Member
Apr 12, 2013
1,605
2,586
Nimebahatika kutembea nchi kadhaa Europe, Asia and Americas; pia ni mpenzi wa kutazama vipindi vya mapishi kwenye dstv ch 175.
Ambacho nimejifunza ni tofauti ya dhana nzima ya mlo kwa nchi zilizoendelea (Ulaya) na Africa.

Wakati ulaya main dish huwa ni (mboga) ikisindikizwa na cereals, Afrika ni kinyume chake.
Ulaya utaulizwa unakula nini, akikusudiwa umwambie labda Fish, Chicken, Lamb, Seafood, Pork etc Huku kwetu, main dish inakuwa, Wali, Ugali, Ndizi, Viazi halafu ndo swala la mboga huja baadaye!

Jee hii inatokana na tamaduni tuu au hali ya uchumi? Kwa maana uchumi ukipanda mboga hugeuka kuwa ndo chakula kikuu?
 
Ni tamaduni na hali ya uchumi mkuu..Wanaojiweza kiuchumi huwa wanakula kizungu
 
Aisee ni kweli...unajua wengi tumekariri hasa kwenye ulaji..elimu inahitajika sana..huku kwetu mtu kula ugali mwingi eti ndio afya..halafu kuna ile kukariri muda wa kula..hatuangalii kama tunahisi njaa..binafsi napenda mboga mboga...au wakati mwingine nagonga tende maziwa na mkate...nalala..
 
Aisee ni kweli...unajua wengi tumekariri hasa kwenye ulaji..elimu inahitajika sana..huku kwetu mtu kula ugali mwingi eti ndio afya..halafu kuna ile kukariri muda wa kula..hatuangalii kama tunahisi njaa..binafsi napenda mboga mboga...au wakati mwingine nagonga tende maziwa na mkate...nalala..
kuna wale wanaoshindana kula sijui ndio umwamba?
 
Nimebahatika kutembea nchi kadhaa Europe, Asia and Americas; pia ni mpenzi wa kutazama vipindi vya mapishi kwenye dstv ch 175.
Ambacho nimejifunza ni tofauti ya dhana nzima ya mlo kwa nchi zilizoendelea (Ulaya) na Africa.

Wakati ulaya main dish huwa ni (mboga) ikisindikizwa na cereals, Afrika ni kinyume chake.
Ulaya utaulizwa unakula nini, akikusudiwa umwambie labda Fish, Chicken, Lamb, Seafood, Pork etc Huku kwetu, main dish inakuwa, Wali, Ugali, Ndizi, Viazi halafu ndo swala la mboga huja baadaye!

Jee hii inatokana na tamaduni tuu au hali ya uchumi? Kwa maana uchumi ukipanda mboga hugeuka kuwa ndo chakula kikuu?
Ni hali ya uchumi
Na hata uchumi ukishapanda unakua tyr na hayo mazoea

Labda ss ukishapata exposure ndo utabadili/utaimprove ulaji
 
Uchumi ndo chanzo

Hata ukiwa na pesa bado ni wachache sn wanaenda na ile starter,main dish then desert

Unless uwe na exposure

Bado watu wanakomaa wali kuku mchicha over
Ama wali maharage mchicha over..
 
Na pia tunakula sanaa daah...

Mbongo on average kati ya mashed potatoes na ugali atachukua kipi?..

Wenzetu sandwich na salads anaridhika akila mchana..bongo ugali samaki makange na mtindi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom