Dhana ya kwamba mshahara ukiongezwa na inflation itatokea ni dhana inayopaswa kufikiriwa na kichaa tu

Matatizo yaliyopo nchini ni makubwa kuliko wstumishi kuongezewa mshahara. Watumishi hawafii hata 1% ya watanzania wote. Ukiweka wategemezi wao hata useme kila mmoja ni 20 bado haifiki hata robo ya watanzania.
Hivyo hili kundi kubwa watanzania wanalotegemea na ambalo Lina 75% ya watanzania wote ndio la kufikiriwa sana
Ungewaza mbele kidogo ungeikomboa akili Yako,watumishi ndio wateja wa biashara za mtaani ,ndio wanaotoa hela pale BOT kupitia mishahara kuzileta huku chini,wakineemeka ,watu kibao wananeemeka KWA kufanya biashara

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kama wewe sio kichaa nijibu hili swali; Je, mnataka muongezewe mishahara, kwani mmeongezewa kazi?
Kwanini badala yake msidai serikali iboreshe mazingira ya uzalishaji mali na huduma ili bei za bidhaa zishuke? Mfano ukishusha bei ya umeme maana yake uzalishaji wa bidhaa utakuwa na tija zaidi na bei za bidhaa zitashuka. Ndio maana nasema abarikiwe alieanzisha mchakato wa bwawa la Rufiji, lile bwawa ndio mwarobaini wa matatizo kama haya
Peleka usukuma chatto we una akili za kimfugomfugo ng'ombe wewe😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom