Dhana ya kukua kwa kasi kwa uchumi wetu na kauka kwa pesa mifukoni

Mondoros

JF-Expert Member
Aug 29, 2015
629
472
11.jpg

Ukame wa pesa mifukoni ndo habari ya mjini kwasasa. Ila watu wanaona ni maajabu au danganya toto kuona kwa mwaka 2016 uchumi wetu umekua kwa silimia 7.2 (7.2%) wakati watu mifukoni hawana chenji wala barmaid hawakeep chenji siku izi. Leo nimeona tubadilishane mawazo kidogo kuhusu suala la ukuaji wa uchumi na nini kifanyike ili kuondokana na ukame mifukoni.

VIPIMOMO VYA UKUAJI WA UCHUMI

Kuna njia nyingi za kupima ukuaji wa uchumi ila njia kuu zipo mbili ambazo ni pato la mtu mmoja mmoja (per capita income) na pato la taifa (GDP)

1. Pato la mtu mmojammoja( per capita income)

Wachumi wengi wamekuwa wakisema kuwa njia bora ya kupima ukuaji wa uchumi ni namna kwa kuangalia pato la mtu mmoja mmoja kwa kuwa wanaamini njia hii ni jumuishi(ukuaji wa uchumi unaneemesha mtu mmojammoja). Wengi hata wale wasiowachumi(wazee wa ukame) wanataka iwe hivii,ila changamoto yah hii ni hasa kwa nchi zetu ambazo maskini ni wengi kuliko matajiri(wenye mapesa mengi mno) ni kuwa Babu Tanzania ataonekana na mapesa mengi kumbe nashindia muhugo mkavu na maembe iloa Bakresa kanigawia fedha zake kidogo ili namimi nionekana nimo nimo kwenye chati ya wenye fedha angalau. Njia hii inamfanya masikini kuwa na maisha ya kati na tajiri kuwa na maisha ya kati kwenye takwimu za kidunia wakati uhalisia haupo hivo. Tatizo linguine la hii njia inawezakuonesha uchumi wa Rwanda ni mkubwa zaid ya uchumi wa marekani kutokana na idadi ya watu baina ya hizo nchi(population size)

· Per capita income= pato la taifa (GDP)/idadi ya watu katika taifa(population size)

2. Pato la Taifa (GDP)

Pato la taifa ni jumla ya mapato yote yanayokusanywa na serikali kutoka katika vyanzo vyake vyote vya mapato pamoja na mapato ya sekta binafsi zinazofanyakazi ndani ya nchi husika kwa mwaka. Serikali nyingi makini na hupenda kuona pato la taifa linawanufaisha wote ndo maana hujikita zaid kuwekeza kwenye miradi ya maendeleo na huduma za jamii kama shule,hospitali, ujenzi wa viwanda, ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji(barabara,reli,bandari,viwanja vya ndege nk) kuliko katika matumizi ya kawaida (kulipa maposho yasiyo na msingi,safari za ndani na nje zisizo na msingi,nk).

Sasa Uchumi wa Taifa unakua kwa asilimia 7.2 na nchi yetu imekuwa miongoni mwa nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi kwa mujibu wa ripot ya benki ya dunia. Je unajua kwanini watu wanasema pesa zimekauka mifukoni??,,sababu ni moja tu watanzania wengi tumewekeza kwenye kutumia pesa kuliko kuzalisha fedha,yaan hatuwekezi kwenye miradi ya maendeleo.

JINSI YA KUPAMBANA NA UKAME WA MFUKONI

Njia pekee ya kufanya pesa ziingie mifukoni kila dakika ni kufanya shughuli za uzalishaji. Serikali ya sasa inatengeneza miundombinu salama ya watu kuzalisha na uzalishaji wao kuwa na tija, unahamasisha watu kufanya kazi hivyo basi kama utaendelea kukaa vijuweni kusubir mifuko icheke itakula kwako. Kuongeza ubunifu ndio silaa kuu zaidi maana Tanzania inafursa kila kona ila watanzania wengi hatuzichangamkii.

Mwisho.
 
Angalau wewe unatupa moyo , lakini swala linabaki pale pale Tanzania hatujielewi kama taifa (wananchi), tuchagua hivi vyama vya siasa tukidhani vitatutatulia matatizo yetu kumbe ni sisi kubadili maono tu.
 
Naku
Ukame wa pesa mifukoni ndo habari ya mjini kwasasa. Ila watu wanaona ni maajabu au danganya toto kuona kwa mwaka 2016 uchumi wetu umekua kwa silimia 7.2 (7.2%) wakati watu mifukoni hawana chenji wala barmaid hawakeep chenji siku izi. Leo nimeona tubadilishane mawazo kidogo kuhusu suala la ukuaji wa uchumi na nini kifanyike ili kuondokana na ukame mifukoni.

VIPIMOMO VYA UKUAJI WA UCHUMI

Kuna njia nyingi za kupima ukuaji wa uchumi ila njia kuu zipo mbili ambazo ni pato la mtu mmoja mmoja (per capita income) na pato la taifa (GDP)

1. Pato la mtu mmojammoja( per capita income)

Wachumi wengi wamekuwa wakisema kuwa njia bora ya kupima ukuaji wa uchumi ni namna kwa kuangalia pato la mtu mmoja mmoja kwa kuwa wanaamini njia hii ni jumuishi(ukuaji wa uchumi unaneemesha mtu mmojammoja). Wengi hata wale wasiowachumi(wazee wa ukame) wanataka iwe hivii,ila changamoto yah hii ni hasa kwa nchi zetu ambazo maskini ni wengi kuliko matajiri(wenye mapesa mengi mno) ni kuwa Babu Tanzania ataonekana na mapesa mengi kumbe nashindia muhugo mkavu na maembe iloa Bakresa kanigawia fedha zake kidogo ili namimi nionekana nimo nimo kwenye chati ya wenye fedha angalau. Njia hii inamfanya masikini kuwa na maisha ya kati na tajiri kuwa na maisha ya kati kwenye takwimu za kidunia wakati uhalisia haupo hivo. Tatizo linguine la hii njia inawezakuonesha uchumi wa Rwanda ni mkubwa zaid ya uchumi wa marekani kutokana na idadi ya watu baina ya hizo nchi(population size)

· Per capita income= pato la taifa (GDP)/idadi ya watu katika taifa(population size)

2. Pato la Taifa (GDP)

Pato la taifa ni jumla ya mapato yote yanayokusanywa na serikali kutoka katika vyanzo vyake vyote vya mapato pamoja na mapato ya sekta binafsi zinazofanyakazi ndani ya nchi husika kwa mwaka. Serikali nyingi makini na hupenda kuona pato la taifa linawanufaisha wote ndo maana hujikita zaid kuwekeza kwenye miradi ya maendeleo na huduma za jamii kama shule,hospitali, ujenzi wa viwanda, ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji(barabara,reli,bandari,viwanja vya ndege nk) kuliko katika matumizi ya kawaida (kulipa maposho yasiyo na msingi,safari za ndani na nje zisizo na msingi,nk).

Sasa Uchumi wa Taifa unakua kwa asilimia 7.2 na nchi yetu imekuwa miongoni mwa nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi kwa mujibu wa ripot ya benki ya dunia. Je unajua kwanini watu wanasema pesa zimekauka mifukoni??,,sababu ni moja tu watanzania wengi tumewekeza kwenye kutumia pesa kuliko kuzalisha fedha,yaan hatuwekezi kwenye miradi ya maendeleo.

JINSI YA KUPAMBANA NA UKAME WA MFUKONI

Njia pekee ya kufanya pesa ziingie mifukoni kila dakika ni kufanya shughuli za uzalishaji. Serikali ya sasa inatengeneza miundombinu salama ya watu kuzalisha na uzalishaji wao kuwa na tija, unahamasisha watu kufanya kazi hivyo basi kama utaendelea kukaa vijuweni kusubir mifuko icheke itakula kwako. Kuongeza ubunifu ndio silaa kuu zaidi maana Tanzania inafursa kila kona ila watanzania wengi hatuzichangamkii.

Mwisho.
Nakubaliana na wewe mkuu ni kweli nchi yetu inazo fursa nyingi, njia ya haraka ni kuwawezesha wakulima kulima kilimo kilichobora na Serikali kujikita katika kuwatafutia masoko ili kuwaondolea ukame wa pesa katika mifuko
 
Ukame wa pesa mifukoni ndo habari ya mjini kwasasa. Ila watu wanaona ni maajabu au danganya toto kuona kwa mwaka 2016 uchumi wetu umekua kwa silimia 7.2 (7.2%) wakati watu mifukoni hawana chenji wala barmaid hawakeep chenji siku izi. Leo nimeona tubadilishane mawazo kidogo kuhusu suala la ukuaji wa uchumi na nini kifanyike ili kuondokana na ukame mifukoni.

VIPIMOMO VYA UKUAJI WA UCHUMI

Kuna njia nyingi za kupima ukuaji wa uchumi ila njia kuu zipo mbili ambazo ni pato la mtu mmoja mmoja (per capita income) na pato la taifa (GDP)

1. Pato la mtu mmojammoja( per capita income)

Wachumi wengi wamekuwa wakisema kuwa njia bora ya kupima ukuaji wa uchumi ni namna kwa kuangalia pato la mtu mmoja mmoja kwa kuwa wanaamini njia hii ni jumuishi(ukuaji wa uchumi unaneemesha mtu mmojammoja). Wengi hata wale wasiowachumi(wazee wa ukame) wanataka iwe hivii,ila changamoto yah hii ni hasa kwa nchi zetu ambazo maskini ni wengi kuliko matajiri(wenye mapesa mengi mno) ni kuwa Babu Tanzania ataonekana na mapesa mengi kumbe nashindia muhugo mkavu na maembe iloa Bakresa kanigawia fedha zake kidogo ili namimi nionekana nimo nimo kwenye chati ya wenye fedha angalau. Njia hii inamfanya masikini kuwa na maisha ya kati na tajiri kuwa na maisha ya kati kwenye takwimu za kidunia wakati uhalisia haupo hivo. Tatizo linguine la hii njia inawezakuonesha uchumi wa Rwanda ni mkubwa zaid ya uchumi wa marekani kutokana na idadi ya watu baina ya hizo nchi(population size)

· Per capita income= pato la taifa (GDP)/idadi ya watu katika taifa(population size)

2. Pato la Taifa (GDP)

Pato la taifa ni jumla ya mapato yote yanayokusanywa na serikali kutoka katika vyanzo vyake vyote vya mapato pamoja na mapato ya sekta binafsi zinazofanyakazi ndani ya nchi husika kwa mwaka. Serikali nyingi makini na hupenda kuona pato la taifa linawanufaisha wote ndo maana hujikita zaid kuwekeza kwenye miradi ya maendeleo na huduma za jamii kama shule,hospitali, ujenzi wa viwanda, ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji(barabara,reli,bandari,viwanja vya ndege nk) kuliko katika matumizi ya kawaida (kulipa maposho yasiyo na msingi,safari za ndani na nje zisizo na msingi,nk).

Sasa Uchumi wa Taifa unakua kwa asilimia 7.2 na nchi yetu imekuwa miongoni mwa nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi kwa mujibu wa ripot ya benki ya dunia. Je unajua kwanini watu wanasema pesa zimekauka mifukoni??,,sababu ni moja tu watanzania wengi tumewekeza kwenye kutumia pesa kuliko kuzalisha fedha,yaan hatuwekezi kwenye miradi ya maendeleo.

JINSI YA KUPAMBANA NA UKAME WA MFUKONI

Njia pekee ya kufanya pesa ziingie mifukoni kila dakika ni kufanya shughuli za uzalishaji. Serikali ya sasa inatengeneza miundombinu salama ya watu kuzalisha na uzalishaji wao kuwa na tija, unahamasisha watu kufanya kazi hivyo basi kama utaendelea kukaa vijuweni kusubir mifuko icheke itakula kwako. Kuongeza ubunifu ndio silaa kuu zaidi maana Tanzania inafursa kila kona ila watanzania wengi hatuzichangamkii.

Mwisho.

Ili maendeleo yapatikane ni lazima ukuaji wa uchumi uwafikie walio chini. Kipato chao kiongezeke na wajisikie maisha yao yanakuwa bora zaidi. Kufikia lengo hili sekta za uzalishaji (Directly Productive Sectors) lazima zipate 50% ya bajeti ya serikali. Miundombinu ya Uchumi (Economic Infrastructures) lazima zipate 30% ya bajeti na Huduma za jamii zipate 20% ya bajeti. Hatufanyi hivyo kwa hiyo tunachokiona ni tarakimu tu za kihasibu na kiuchumi zisizo na uwiano na hali halisi ya maisha ya wananchi.
 
Ukame wa pesa mifukoni ndo habari ya mjini kwasasa. Ila watu wanaona ni maajabu au danganya toto kuona kwa mwaka 2016 uchumi wetu umekua kwa silimia 7.2 (7.2%) wakati watu mifukoni hawana chenji wala barmaid hawakeep chenji siku izi. Leo nimeona tubadilishane mawazo kidogo kuhusu suala la ukuaji wa uchumi na nini kifanyike ili kuondokana na ukame mifukoni.

VIPIMOMO VYA UKUAJI WA UCHUMI

Kuna njia nyingi za kupima ukuaji wa uchumi ila njia kuu zipo mbili ambazo ni pato la mtu mmoja mmoja (per capita income) na pato la taifa (GDP)

1. Pato la mtu mmojammoja( per capita income)

Wachumi wengi wamekuwa wakisema kuwa njia bora ya kupima ukuaji wa uchumi ni namna kwa kuangalia pato la mtu mmoja mmoja kwa kuwa wanaamini njia hii ni jumuishi(ukuaji wa uchumi unaneemesha mtu mmojammoja). Wengi hata wale wasiowachumi(wazee wa ukame) wanataka iwe hivii,ila changamoto yah hii ni hasa kwa nchi zetu ambazo maskini ni wengi kuliko matajiri(wenye mapesa mengi mno) ni kuwa Babu Tanzania ataonekana na mapesa mengi kumbe nashindia muhugo mkavu na maembe iloa Bakresa kanigawia fedha zake kidogo ili namimi nionekana nimo nimo kwenye chati ya wenye fedha angalau. Njia hii inamfanya masikini kuwa na maisha ya kati na tajiri kuwa na maisha ya kati kwenye takwimu za kidunia wakati uhalisia haupo hivo. Tatizo linguine la hii njia inawezakuonesha uchumi wa Rwanda ni mkubwa zaid ya uchumi wa marekani kutokana na idadi ya watu baina ya hizo nchi(population size)

· Per capita income= pato la taifa (GDP)/idadi ya watu katika taifa(population size)

2. Pato la Taifa (GDP)

Pato la taifa ni jumla ya mapato yote yanayokusanywa na serikali kutoka katika vyanzo vyake vyote vya mapato pamoja na mapato ya sekta binafsi zinazofanyakazi ndani ya nchi husika kwa mwaka. Serikali nyingi makini na hupenda kuona pato la taifa linawanufaisha wote ndo maana hujikita zaid kuwekeza kwenye miradi ya maendeleo na huduma za jamii kama shule,hospitali, ujenzi wa viwanda, ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji(barabara,reli,bandari,viwanja vya ndege nk) kuliko katika matumizi ya kawaida (kulipa maposho yasiyo na msingi,safari za ndani na nje zisizo na msingi,nk).

Sasa Uchumi wa Taifa unakua kwa asilimia 7.2 na nchi yetu imekuwa miongoni mwa nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi kwa mujibu wa ripot ya benki ya dunia. Je unajua kwanini watu wanasema pesa zimekauka mifukoni??,,sababu ni moja tu watanzania wengi tumewekeza kwenye kutumia pesa kuliko kuzalisha fedha,yaan hatuwekezi kwenye miradi ya maendeleo.

JINSI YA KUPAMBANA NA UKAME WA MFUKONI

Njia pekee ya kufanya pesa ziingie mifukoni kila dakika ni kufanya shughuli za uzalishaji. Serikali ya sasa inatengeneza miundombinu salama ya watu kuzalisha na uzalishaji wao kuwa na tija, unahamasisha watu kufanya kazi hivyo basi kama utaendelea kukaa vijuweni kusubir mifuko icheke itakula kwako. Kuongeza ubunifu ndio silaa kuu zaidi maana Tanzania inafursa kila kona ila watanzania wengi hatuzichangamkii.

Mwisho.
Theory na practical ni vitu viwili tofauti. Theory inataka kila kitu kiende kama kilivyopangwa in practice haiwi hivyo. Kuna factors nyingi ambazo zinapangua hayo mambo yenu ya vitabu. Maísha ni magumu, uchumi hakui, watu wanalima zaidi ya walivyokuwa wanalima na ni hasara tupu. Biashara wameachiwa machinga ambao hawalipi kodi, wana mali za mamilioni barabarani. Walipa kodi sasa ni wachache na wafanyabiashara halali wengi watafunga biashara.

Namsubiri Yule mtoto aje aseme mfalme yuko uchi!
 
Kupiga watu mizinga na yenyewe ni njia ya kujiongezea kipato Tanzania. Mfano ukiwa na marafiki 20 ukawapiga mizinga ya elfu 5 kila mmoja basi hapo unakuwa na LAKI MOJA. Tayari huu ni mtaji tosha wa kufanya biashara ya genge mtaani
 
Serikali
Ukame wa pesa mifukoni ndo habari ya mjini kwasasa. Ila watu wanaona ni maajabu au danganya toto kuona kwa mwaka 2016 uchumi wetu umekua kwa silimia 7.2 (7.2%) wakati watu mifukoni hawana chenji wala barmaid hawakeep chenji siku izi. Leo nimeona tubadilishane mawazo kidogo kuhusu suala la ukuaji wa uchumi na nini kifanyike ili kuondokana na ukame mifukoni.

VIPIMOMO VYA UKUAJI WA UCHUMI

Kuna njia nyingi za kupima ukuaji wa uchumi ila njia kuu zipo mbili ambazo ni pato la mtu mmoja mmoja (per capita income) na pato la taifa (GDP)

1. Pato la mtu mmojammoja( per capita income)

Wachumi wengi wamekuwa wakisema kuwa njia bora ya kupima ukuaji wa uchumi ni namna kwa kuangalia pato la mtu mmoja mmoja kwa kuwa wanaamini njia hii ni jumuishi(ukuaji wa uchumi unaneemesha mtu mmojammoja). Wengi hata wale wasiowachumi(wazee wa ukame) wanataka iwe hivii,ila changamoto yah hii ni hasa kwa nchi zetu ambazo maskini ni wengi kuliko matajiri(wenye mapesa mengi mno) ni kuwa Babu Tanzania ataonekana na mapesa mengi kumbe nashindia muhugo mkavu na maembe iloa Bakresa kanigawia fedha zake kidogo ili namimi nionekana nimo nimo kwenye chati ya wenye fedha angalau. Njia hii inamfanya masikini kuwa na maisha ya kati na tajiri kuwa na maisha ya kati kwenye takwimu za kidunia wakati uhalisia haupo hivo. Tatizo linguine la hii njia inawezakuonesha uchumi wa Rwanda ni mkubwa zaid ya uchumi wa marekani kutokana na idadi ya watu baina ya hizo nchi(population size)

· Per capita income= pato la taifa (GDP)/idadi ya watu katika taifa(population size)

2. Pato la Taifa (GDP)

Pato la taifa ni jumla ya mapato yote yanayokusanywa na serikali kutoka katika vyanzo vyake vyote vya mapato pamoja na mapato ya sekta binafsi zinazofanyakazi ndani ya nchi husika kwa mwaka. Serikali nyingi makini na hupenda kuona pato la taifa linawanufaisha wote ndo maana hujikita zaid kuwekeza kwenye miradi ya maendeleo na huduma za jamii kama shule,hospitali, ujenzi wa viwanda, ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji(barabara,reli,bandari,viwanja vya ndege nk) kuliko katika matumizi ya kawaida (kulipa maposho yasiyo na msingi,safari za ndani na nje zisizo na msingi,nk).

Sasa Uchumi wa Taifa unakua kwa asilimia 7.2 na nchi yetu imekuwa miongoni mwa nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi kwa mujibu wa ripot ya benki ya dunia. Je unajua kwanini watu wanasema pesa zimekauka mifukoni??,,sababu ni moja tu watanzania wengi tumewekeza kwenye kutumia pesa kuliko kuzalisha fedha,yaan hatuwekezi kwenye miradi ya maendeleo.

JINSI YA KUPAMBANA NA UKAME WA MFUKONI

Njia pekee ya kufanya pesa ziingie mifukoni kila dakika ni kufanya shughuli za uzalishaji. Serikali ya sasa inatengeneza miundombinu salama ya watu kuzalisha na uzalishaji wao kuwa na tija, unahamasisha watu kufanya kazi hivyo basi kama utaendelea kukaa vijuweni kusubir mifuko icheke itakula kwako. Kuongeza ubunifu ndio silaa kuu zaidi maana Tanzania inafursa kila kona ila watanzania wengi hatuzichangamkii.

Mwisho.
Serikali imezoea maigizo,hii sinema wanayo act mwisho wake ni kilio.
 
Back
Top Bottom