Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,094
- 34,173
- Thread starter
- #101
Uzuri wake nimeshampa malengo na kuwaeleza Wazee ikiwa pamoja na kupokelea huo mtaji mbele yao kabisa.Binafsi naamini hakuna kinachoshindikana kwenye UPENDO NA DHAMIRA YA DHATI AS LONG AS UMEAMUA KUPAMBANA NA UTEGEMEZI NYUMBANI huyu nirahisi aidha kumchukua au kumuandalia program maalumu ya kuhakikisha u amuondoa kwenye tatizo lake la awali kabla hujaanza kummilikisha mali au kumpa jukumu la kujisimamia.
Iwe kwa kumpeleka kwenye vituo maalumu vya watu wenye shida hiyo.
Akishindwa this time hakutakuwa na mswalie mtume