Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,004
- 173,644
Huyo mdogo wako anachukulia maisha kiutani utani sababu ndugu mpo wa kumsaidia ila mkimchinjia baharini atatia akili!Haileti picha nzuri kupewa mtaji then uutumie ndivyo sivyo, tena unakuta anayekupa hata amekopa benki.
So ukibeba make sure unabebeka, lengo ni kupunguza umasikini level ya familia
Akipoteza na hela mara 3 mfululizo mkatieni umeme achapwe na ukata ndio ataelewa somo!