Wana jf,
Kutokana na kile kinachoendelea ndani ya CDM si ushujaa kwa kuwa kitendo cha kuwafukuza na kuwasimamisha viongozi katika chama inapelekea migogoro na migawanyiko mikubwa ndani ya chama.
Hii imekuwa na athari kubwa kwa chama ukizingatia kwamba chadema imeshafanya maamuzi magumu sana kwa baadhi ya viongozi wake wengi ikiwa ni pamoja na * Dk Aman Walid Kaburu/ alifukuzwa * Chama wangwe/ alisimamishwa uongozi mkamu/mwenyekiti Taifa *Estomih Mallah, diwani (Arusha) Alifukuzwa *John Bayo, diwani (Arusha) alifukuzwa *Reuben Ngowi, diwani (Arusha) alifukuzwa *charles Mpanda, diwani (Arusha) alifukuzwa *Rehema Mohammed, diwani (Arusha) alifukuzwa *Habiba Ally diwani (Mara) alifukuzwa *Miriam Daudi, diwani (Mara) alifukuzwa *Amani Mwipaja mwanasheria morogoro alifukuzwa *David Kafulila kiongozi makao makuu, alifukuzwa *Josephu kasamba, mwenyekiti BAVICHA Mbeya alifukuzwa *Cosmas Sanga katibu bavicha mbeya alifukuzwa *Allam Mwapamba, Baba mzazi wa Mtela mwapamba, alifukuzwa *Mtela Mwapamba kiongozi BAVICHA, ALIFUKUZWA *Julliana Shonza kiongozi Bavicha alifukuzwa *Zitto Kabwe Zuber amesimanishwa *Dk Kitila Mkumbo amesimamishwa, *Samsoni Mwigamba, amesimamishwa.
kutokana na takwimu hiyo ni kweli kuwa ni dhana ya uwajibikaji, pamoja na hayo ikumbukwe kuwa katika siasa za TANZANIA wengi wa wafuasi hawafuati SERA katika chama bali watu maarufu katika siasa (political figure) na chama bora cha siasa ni kile chenye wanachama wengi.
ANGALIZO: kutokana na idadi ya watu wanaofukuzwa katika chama kwenda na wafuasi walioingia katika siasa kwa kwa kufuata mkumbo wa wanasiasa fulani hivyo kwa mtizamo wangu suala la ZITTO na wenzake liangaliwe kwa umakini ili kuepusha athari ambazo zinazidi kujitokeza siku hadi siku kwani hata CUF , NCCR na TLP hawakupenda kufika hapa DEMOKRASIA YA KWELI NI KUTI KAVU
Kutokana na kile kinachoendelea ndani ya CDM si ushujaa kwa kuwa kitendo cha kuwafukuza na kuwasimamisha viongozi katika chama inapelekea migogoro na migawanyiko mikubwa ndani ya chama.
Hii imekuwa na athari kubwa kwa chama ukizingatia kwamba chadema imeshafanya maamuzi magumu sana kwa baadhi ya viongozi wake wengi ikiwa ni pamoja na * Dk Aman Walid Kaburu/ alifukuzwa * Chama wangwe/ alisimamishwa uongozi mkamu/mwenyekiti Taifa *Estomih Mallah, diwani (Arusha) Alifukuzwa *John Bayo, diwani (Arusha) alifukuzwa *Reuben Ngowi, diwani (Arusha) alifukuzwa *charles Mpanda, diwani (Arusha) alifukuzwa *Rehema Mohammed, diwani (Arusha) alifukuzwa *Habiba Ally diwani (Mara) alifukuzwa *Miriam Daudi, diwani (Mara) alifukuzwa *Amani Mwipaja mwanasheria morogoro alifukuzwa *David Kafulila kiongozi makao makuu, alifukuzwa *Josephu kasamba, mwenyekiti BAVICHA Mbeya alifukuzwa *Cosmas Sanga katibu bavicha mbeya alifukuzwa *Allam Mwapamba, Baba mzazi wa Mtela mwapamba, alifukuzwa *Mtela Mwapamba kiongozi BAVICHA, ALIFUKUZWA *Julliana Shonza kiongozi Bavicha alifukuzwa *Zitto Kabwe Zuber amesimanishwa *Dk Kitila Mkumbo amesimamishwa, *Samsoni Mwigamba, amesimamishwa.
kutokana na takwimu hiyo ni kweli kuwa ni dhana ya uwajibikaji, pamoja na hayo ikumbukwe kuwa katika siasa za TANZANIA wengi wa wafuasi hawafuati SERA katika chama bali watu maarufu katika siasa (political figure) na chama bora cha siasa ni kile chenye wanachama wengi.
ANGALIZO: kutokana na idadi ya watu wanaofukuzwa katika chama kwenda na wafuasi walioingia katika siasa kwa kwa kufuata mkumbo wa wanasiasa fulani hivyo kwa mtizamo wangu suala la ZITTO na wenzake liangaliwe kwa umakini ili kuepusha athari ambazo zinazidi kujitokeza siku hadi siku kwani hata CUF , NCCR na TLP hawakupenda kufika hapa DEMOKRASIA YA KWELI NI KUTI KAVU