Dhana?/Ukweli?...

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,844
...ama kuishi kwingi na kusikia mengi, ...hivi;

urefu au ufupi wa unyayo,
au nafasi baina ya vidole vya miguu,
au vidole vya mikono,
au ukubwa/udogo wa mdomo


vinahusiana vipi na 'jinsia' ya mwanaume au mwanamke?

Nahisi ni kama sexual harrasment fulani 'kumsifia mtu' eti tu kwa ukubwa wa mguu, au mw'mke/ume akisifiwa kwa mwanya wake, kuwa eti (ashakum si matusi) ni mtamu! ...Labda ndio maana kuna walio na desturi ya kuficha maungo yao kwa nia ya kujistiri?! ...Mkeo/Mumeo 'akisifiwa' kwa kama haya, unalichukuliaje?

...ni kweli au dhana tu?

NB; Mchango kwa lugha nyepesi tafadhali

:D
 
Mi nadhani hiyo ni dhana potofu tu na
imejengeka na imekuwa kama ndio imani ya watu,
but kiukweli sihisi kama kuna ukweli wowote kuhusu hili
Urefu au ufupi wa vidole si kipimo
cha.........tafadhali bwana, ebu tutakane
radhi!
 
Inawezekana ni dhana tu.

Lakini nadhani ni ukweli pia kwamba viungo vya mwanadamu vina uhusiano mkubwa (proportions). Kwa mfano, mtu mfupi hatutegemei awe na vidole virefu. Kwa mantiki hiyo, nafasi kati ya vidole, mwanya, urefu wa shingo, midomo nk kuna uwezekano mkubwa vikawa viaelezea size/namna ya viungo vingine vya mwili:).

Nadhani kama kuna watu wa physiology/biologiocal anthropology humu ndani wanaweza kutusaidia zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom