Habari wakuu !!!leo nimetafakari sana dhana nzima ya uzalendo! Hizi ndo Tabia za mtu mzalendo
1: Ni mwaminifu na mwadilifu kwenye kazi yake na majukumu yake
Mithali 14:5
Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.
2: Ni kiongozi ambaye hana upendeleo kwa anaowaongoza
Mithali 29:26
Watu wengi hutafuta upendeleo wa mkuu bali hukumu ya kila mtu hutoka kwa BWANA
3: Ni kiongozi ambaye anapotawala au kuongoza anaowaongoza hufurahi
Mithali 29:2
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.
4: Hutenda kwa haki anapofanya maamuzi
Mithali 3:27
Usiwanyime watu mema yaliyo haki yao, kiwa katika uwezo wa mkono wako kuyatenda.
Nimemtumia Suleman kwenye quotation zangu, Huyu ndiye aliyekuwa mzalendo wa kweli, lakini huu uzalendo wa kisasa tunaoambiwa wakati
1; Kuna upendeleo kwenye vyama vya siasa
2: Kuna wizi, viongozi wanajilimbikizia mali na kujilipa posho za ajabu wakati mwananchi wa kawaida anaumia
3: Watu wanateswa na kulazimishwa kukiri makosa ambayo hawakufanya na hata wengi kuuliwa
4: Wongo hupindishwa kuwa ukweli.
5: Katiba walioapa kuilinda lakini wanajitungia sheria zao wenywe
Huu sio uzalendo mbali ni kinyume cha uzalendo!
1: Ni mwaminifu na mwadilifu kwenye kazi yake na majukumu yake
Mithali 14:5
Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.
2: Ni kiongozi ambaye hana upendeleo kwa anaowaongoza
Mithali 29:26
Watu wengi hutafuta upendeleo wa mkuu bali hukumu ya kila mtu hutoka kwa BWANA
3: Ni kiongozi ambaye anapotawala au kuongoza anaowaongoza hufurahi
Mithali 29:2
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.
4: Hutenda kwa haki anapofanya maamuzi
Mithali 3:27
Usiwanyime watu mema yaliyo haki yao, kiwa katika uwezo wa mkono wako kuyatenda.
Nimemtumia Suleman kwenye quotation zangu, Huyu ndiye aliyekuwa mzalendo wa kweli, lakini huu uzalendo wa kisasa tunaoambiwa wakati
1; Kuna upendeleo kwenye vyama vya siasa
2: Kuna wizi, viongozi wanajilimbikizia mali na kujilipa posho za ajabu wakati mwananchi wa kawaida anaumia
3: Watu wanateswa na kulazimishwa kukiri makosa ambayo hawakufanya na hata wengi kuuliwa
4: Wongo hupindishwa kuwa ukweli.
5: Katiba walioapa kuilinda lakini wanajitungia sheria zao wenywe
Huu sio uzalendo mbali ni kinyume cha uzalendo!