Hubby material
Member
- Jun 15, 2017
- 46
- 40
Kuna dhana kwamba wale watu wanaokuwa kwenye mahusiano na wakapendana kweli kweli huwa hawaishii kuoana. Huwa wanaoana na watu tofauti kabisa.
Je kwa experience ya kwenu ndugu mloko humu, je ni kweli?
Je kwa experience ya kwenu ndugu mloko humu, je ni kweli?