Dhana hii bado unaikubali?

Kazwala mkuu

JF-Expert Member
Jul 2, 2016
1,034
2,247
1483264660336.png
 
Sijawahi ikubali maana nimeikuta shuleni, kipindi nikiwa mtoto kanisani tulifundishwa kuwa aliumbwa Mwanadamu
 
Sijawahi ikubali maana nimeikuta shuleni, kipindi nikiwa mtoto kanisani tulifundishwa kuwa aliumbwa Mwanadamu
Hakika, jamaa hapa walicheza na akili za watu wakiwa wadogo tu lakini ni vigumu kuendelea kuwa na nguvu dhana pale mtu anapojitambua.
 
Tumegundua uongo mdogo miongoni mwa uongo mwingi tuliolishwa na wazungu na kututawala.
 
Back
Top Bottom