jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Waungana kwasababu ya muda sitoweza kuandika mengi kwasasa ila nitafanya hivyo mara baada ya kupata muda wakati wa likizo ya summer.
Kwa kifupi nimeonelea nigusie kuhusu dhana ya udini na ukabila ya mwalimu,dhana ambayo ali iregard kama msingi wa umoja;
1)Kwamba ni muhimu kila raisi anyefuata awe wa dini ya tofauti na yule aliyemtangulia,mathalan mkristo mara baada ya JK.
2)Kwenye ukabila;mwalimu alidhani kuwa ile dhana ya kiongozi kutoka kabila kubwa akitawala basi ukabila utaongezeka ama utakomaa.
My take;Kama tunabadilisha viongozi kutoka kwenye dini kubwa hapa nchini,je kuwa sideline viongozi makini kutoka kwenye makabila hayo makubwa ndiyo soution?Kwanini tusitoe nafasi kwa kiongozi anaye qualify bila kujali dini ama kabila?Binafsi naamini kama wakristo na waislam wanabadilishana madaraka ili kulinda umoja wetu na amani,basi iwe hivyo kwa makabila makubwa pia ama makabila yote kwasababu kama ni kweli machafuko yatatokea one day siyo siri...Ni maoni,haya karibuni ila lugha chafu za kidini na kikabila haziruhusiwi!
Kwa kifupi nimeonelea nigusie kuhusu dhana ya udini na ukabila ya mwalimu,dhana ambayo ali iregard kama msingi wa umoja;
1)Kwamba ni muhimu kila raisi anyefuata awe wa dini ya tofauti na yule aliyemtangulia,mathalan mkristo mara baada ya JK.
2)Kwenye ukabila;mwalimu alidhani kuwa ile dhana ya kiongozi kutoka kabila kubwa akitawala basi ukabila utaongezeka ama utakomaa.
My take;Kama tunabadilisha viongozi kutoka kwenye dini kubwa hapa nchini,je kuwa sideline viongozi makini kutoka kwenye makabila hayo makubwa ndiyo soution?Kwanini tusitoe nafasi kwa kiongozi anaye qualify bila kujali dini ama kabila?Binafsi naamini kama wakristo na waislam wanabadilishana madaraka ili kulinda umoja wetu na amani,basi iwe hivyo kwa makabila makubwa pia ama makabila yote kwasababu kama ni kweli machafuko yatatokea one day siyo siri...Ni maoni,haya karibuni ila lugha chafu za kidini na kikabila haziruhusiwi!