BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
- Thread starter
- #61
Bado alichokisema Askofu kina mantiki kubwa tu. Kwani jiwe alichaguliwa na Watanzania? Si alipora uchaguzi kupitia polisiccm na tume FAKE ya uchaguzi? Sasa yeye na hao madiwani wa halmashauri ya Dar wana tofauti ipi? Wote hawakuchaguliwa na wapiga kura.
Haujamuelewa Mh. Rais. Yeye kasema baraza la madiwani linalounda halmashauri ya jiji halijachaguliwa na wananchi. Japokuwa madiwani wamechaguliwa na wananchi kuingia kwenye mabaraza ya manispaa zao.... Askofu usikurupuke