Dhamira yangu sasa ni kuondoka Dodoma wiki ijayo!

Jingine kubwa ni usalama wa taifa, kwani Zanzibar ikijiunga na jumuia za kijahidina wanaweza anza kukata watu mikono.
Kama watajiunga na "jumuia za kijahidina" na kuanza kukata watu mikono itaathiri vipi usalama wa Tanganyika?
tafadhali fafanua.
Mudawote said:
Na wengi wa wzanzibar they are brainwashed hivyo wanataka kumrejesha Sultan ili walipe fidia za mapinduzi
Kwanza ni nchi yao; wakimwita Sultani, mfalme, raisi wewe inakuhusu nini? na bado sijaona athari za kiuslama kwa tanganyika hapo, fafanua.
Mudawote said:
na baadaye awatawale tena kitu ambacho wazanzibar wenye asili ya bara wanaweza uawa.
Mbona Sultani alishawahi kuitawala Zanzibar tena mpaka hiyo Pwani ambayo leo hii imegeuzwa Bara na haikuonekana hiyo hatari unayoisema wewe?!
 
mfano angepiga kura ingesaidia nini au kuongeza nini

nimesikitishwa sana na kauri yako! unamsifia lema kwa kutokupiga kura? si ujinga Huu wa waziwazi!? halafu baadae muatukane wanaichi kwa kutojitokeza kupiga kura! undo maana tunasema nyie mashabiki mnakipteza hiki chama kwa kuwashabikia viongoz kama hawa
 
over my dead body.......
Hizi ni siasa za kitoto na zitawavutia watoto ama watu wazima wenye akili za kitoto.
Hivi huyu mini kabang ndio wa kuacha posho ya laki 3 kwa siku?????? I say it again''''' over my dead body''
nyie mkisusa wenzenu wanakula na uzuri wa katiba ni kwamba,,, huwezi ukaipinga pindi the majority wakiipitisha.
Huyu mini kabang ni mjinga kama kawaida yake

over my dead body me too!
 
No kamanda just stay fight kiume mpaka katiba ipatikane

Sasa a-just stay kwa hali yepi ikiwa tayari ye keshaandika hapa na kwa tambwe na nyingi mbwembwe ati asubiri baraka za viongozi wake na aondoke...?

Kwani ye kabila gani si wale wapenda H. e. L. a..?!!

Hoyo Lema acheza na akili kama zako ndo maana ili aone ni kiasi gani watu kama weye bado mwamkubali katika mbwembwe zake.
 
Me nafikiri kama ungekuwa unaondoka usingetutangazia ungeondoka kimya kimya...acha kubeep watu!!laki tatu mchezo
 
Kama Mbunge na Kiongozi ninatambua umuhimu wa kutunga katiba mpya ni fursa muhimu katika maisha yangu. Harakati muhimu za wanasiasa haswa wapinzani na wadau wengine wa mabadiliko zimeleta fursa hii lakini masikitiko yangu ni mchakato mzima unavyoendelea ambapo nia njema imepotezwa na misimamo ya Watawala juu ya kile wanachokitaka wao.

Nitaongea na Viongozi wangu wa UKAWA kesho ikiwezekana na nitawaeleza wajibu muhimu ninaofikiria kujiondoa kama Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba wiki ijayo mapema, dhamira yangu imekwishaamua kwa sababu za msingi kabisa ambazo nitaongea nao kesho na ni Imani yangu kuwa wataniruhusu kutenda tendo hili jema.

Hata hivyo nitaeleza na kuandika sababu zote muhimu kabla sijabeba begi langu na kurudi Nyumbani Arusha kuongea na Wananchi walionichagua na kuwaeleza sababu ya kujiondoa katika Mkutano mkuu wa CCM hapa Dodoma unaojulikana kwa jina la Bunge Maalumu la katiba.

Mh. Lema kulikimbia tatizo si njia sahihi ya kulitatizo
 
Duh....ungeongea hayo ukiwa umeshafika Arusha ingekuwa safi sana.

Kati ya wajumbe wanaotutia hasira kwa kubwenga laki tatu zetu bure bure, wewe upo kwenye top three.......afadhali hata Maria anakuwa bize kwa kubofya bofya tangu anaingia mpaka anatoka.
 
Katika sababu zote umeamua kuamini upuuzi na ujinga kama huu??
Unaweza kuamini ndani ya roho yako kwamba mimi naweza kuamini sababu hii ya kilimbukeni? ... tuheshimiane kaka, hapa tunazungumzia mustakabali wa taifa ambalo maamuzi yake yanaweza kuathiri stability ya mataifa mengine kiuchumi na kisiasa na pia kuchafua historia ya majasiri wa bara hili.

Kama kuna mbunge ambaye anaogopa kusimamia haki kwa uwazi, basi huyo mbunge asiguse jengo letu huko Dodoma. Nimekuwa napigania kura ya wazi kwa muda mrefu sana, na utashangaa utapoona wabunge wa CCM watakavyosimamia haki kwa uwazi. Nawajua baadhi na tusubiri tu uone nini kitatokea.

Kuna vyama ambavyo vinafadhiliwa na jumuia na vyama vingine vya siasa kutoka ulaya magharibi. Tuna wasiwasi kuwa wanaogopa kuweka kura zao wazi kwa sababu hawataweza kusimamia matakwa ya jumuia shirikishi za vyama vyao na kuathiri mapato yao. Kwa sababu jumuiya hizo zipo kinyume na matakwa ya watanzania.

Tumeshaona mbunge mmoja wa upinzani alivyokaangwa. Mbunge huyo alishawaambia wanajumuia jinsi wanavyopora mali za Africa na alikuwa anabishana wazi kwenye mitandao na baadhi ya wawekezaji.

Kalagha baho na ubozi wako!

Sitaki kuamini kama nilichoandika kilistahili maneno ya kashfa na matusi ya namna hii! Naamini kwenye hoja na si matusi,ni kweli inawezekana katika maelezo yangu hakukuwa na hoja yenye mashiko lakini unafikiri kashfa,kebehi na matusi itasaidia kunifanya nikuelewe na kukubaliana na hoja murua ulizonazo katika kutetea kura ya wazi? Mimi si muumini wa kashfa,matusi na kejeli bali ni mmoja wa watanzania waliostaarabika!

Siku nyingine nakushauri upende kujikita katika kujadili hoja iliyoko mbele yako na si kuporomosha kashfa,matusi na kejeli! Hata kama hatufahamiani lakini ni vyema tuheshimiane basi kidogo maana kila mmoja wetu ana uhuru wa kujieleza (freedom of expression).
 
Kama Mbunge na Kiongozi ninatambua umuhimu wa kutunga katiba mpya ni fursa muhimu katika maisha yangu. Harakati muhimu za wanasiasa haswa wapinzani na wadau wengine wa mabadiliko zimeleta fursa hii lakini masikitiko yangu ni mchakato mzima unavyoendelea ambapo nia njema imepotezwa na misimamo ya Watawala juu ya kile wanachokitaka wao.

Nitaongea na Viongozi wangu wa UKAWA kesho ikiwezekana na nitawaeleza wajibu muhimu ninaofikiria kujiondoa kama Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba wiki ijayo mapema, dhamira yangu imekwishaamua kwa sababu za msingi kabisa ambazo nitaongea nao kesho na ni Imani yangu kuwa wataniruhusu kutenda tendo hili jema.

Hata hivyo nitaeleza na kuandika sababu zote muhimu kabla sijabeba begi langu na kurudi Nyumbani Arusha kuongea na Wananchi walionichagua na kuwaeleza sababu ya kujiondoa katika Mkutano mkuu wa CCM hapa Dodoma unaojulikana kwa jina la Bunge Maalumu la katiba.

Kamanda pambana pamoja na tundu lisssu mpaka matangazo yakatwe tbccccvcm huo ndio weledi mkuuuuu wataanza huwezi kuongoza pambaaaana mkoloni mweusi atatoka kwa hoja na wananchi wataaamua
 
wewe kwani una mchango gani?hata hapa hatuoni unachokifanya unajaza nafasi tu .....hoja zote zinazotolewa bungeni ww unachoona posho tu,umaskini wa kufikiri mbaya saaana
 
Walio wengi hawa wabunge wa katiba hasa kutoka ccm ni kwamba wapo pale kama kutimiza CV yaani wakifa itajwe marehemu aliwahi kuwa mjumbe wa bunge la katiba nk nk nk nk.Rudi home LEMA
 
Back
Top Bottom