Amini msiamini wale walimu wa type ile ya mwalim wa Sarafina katika filamu ya "sarafina" wanaifanya kazi yao kwa umakini hapa Bongo. Tena wanatumia mbinu tofauti tofauti (methodology) kulingana na kiwango cha daraja la elimu la walengwa; lakini lengo likiwa ni lile lile kuibomoa CCM na serikali yake mbele ya jamii kwa vizaza kadhaa vijavyo.
Siku hizi nimemsikia mtoto wa shule moja ya msingi iliyoko katikati ya jiji la Dar akiimba wimbo wa taifa kwa namna nyingine mpya. Nikamwuliza hivyo ndivyo mnavyoimba akasema ndiyo, watoto wengi shule kwao wanaimba hivyo: Alikuwa anaimba hivi:
"Mungu ibariki Tanzania,
Usimbariki Mkapa
Ameiba fedha ameficha kwenye kwapa..."
Hii ni brainwash inayoshika kasi. Kwa sekondari wanawafunulia wanafunzi sababu za ugumu wa maisha uliosababishwa na ufisadi wa wana-magamba. Vyuo vya ualimu na elimu ya juu huko ndio balaa kabisa. Je! Tutafika?
Siku hizi nimemsikia mtoto wa shule moja ya msingi iliyoko katikati ya jiji la Dar akiimba wimbo wa taifa kwa namna nyingine mpya. Nikamwuliza hivyo ndivyo mnavyoimba akasema ndiyo, watoto wengi shule kwao wanaimba hivyo: Alikuwa anaimba hivi:
"Mungu ibariki Tanzania,
Usimbariki Mkapa
Ameiba fedha ameficha kwenye kwapa..."
Hii ni brainwash inayoshika kasi. Kwa sekondari wanawafunulia wanafunzi sababu za ugumu wa maisha uliosababishwa na ufisadi wa wana-magamba. Vyuo vya ualimu na elimu ya juu huko ndio balaa kabisa. Je! Tutafika?