Pasco,
Kwa kuelewa kwangu mimi Chadema hawakuingia uwanjani kucheza isipokuwa walihudhuria mkusanyiko tayari kucheza ikiwa sheria kadhaa zitarekebishwa. Hotuba ya Lissu ilikuwa ni kueleza kwanza sababu ya wao kutshiriki wakijua fika kwamba CCM atapewa mpini na wao washike kwenye makali.. Tatizo limekuja ya kwamba CCM hawataki kubadilishwa kwa sheria, ama kushika upande wa makali wala kupokonywa mpini. Na Chadema wakasema kama mchezo wenyewe ndio huu sisi hatutaweza kushiriki - Kabla kabisa ya kipenga kupigwa..
Kwa hiyo kutumia kanuni ya 86 bado utarudi kesho kufikia kuitoa hiyo hotuba na kueleza kinachokufanya usitake kushiriki siku mtakapo rudi bungeni na yatakayo fuata ni sawa na yaliyotokea jana. Kwa hiyo badala ya kutokea haya bunge lijalo imetokea leo..Sijui kama umenielewa ama naomba msaada wako ktk hili maanake sielewi Chadema wangeweza vipi kubadilisha rules za game ambazo tayari sheria zinampa mpini - a Home team..
Kwa kuelewa kwangu mimi Chadema hawakuingia uwanjani kucheza isipokuwa walihudhuria mkusanyiko tayari kucheza ikiwa sheria kadhaa zitarekebishwa. Hotuba ya Lissu ilikuwa ni kueleza kwanza sababu ya wao kutshiriki wakijua fika kwamba CCM atapewa mpini na wao washike kwenye makali.. Tatizo limekuja ya kwamba CCM hawataki kubadilishwa kwa sheria, ama kushika upande wa makali wala kupokonywa mpini. Na Chadema wakasema kama mchezo wenyewe ndio huu sisi hatutaweza kushiriki - Kabla kabisa ya kipenga kupigwa..
Kwa hiyo kutumia kanuni ya 86 bado utarudi kesho kufikia kuitoa hiyo hotuba na kueleza kinachokufanya usitake kushiriki siku mtakapo rudi bungeni na yatakayo fuata ni sawa na yaliyotokea jana. Kwa hiyo badala ya kutokea haya bunge lijalo imetokea leo..Sijui kama umenielewa ama naomba msaada wako ktk hili maanake sielewi Chadema wangeweza vipi kubadilisha rules za game ambazo tayari sheria zinampa mpini - a Home team..