DHAMIRA HURU: CCM wanaweza kulazimisha sheria; Hawawezi kulazimisha Katiba bila kupingwa!

Asante, Mzee Mwanakijiji kwa hili, ila mimi naomba kutofautiana na wewe, na msimamo wa Chadema.

Wakati wa kutangaza matokeo ya urais, mimi binafsi nilikuwepo pale ukumbini, Chadema walisusa, nilitofautiana nao na nikasema humu kuwa hiyo ni golden opportunity ya kuiambia dunia kuwa uchaguzi wetu haukuwa huru na wa haki, you just tell it infrot of their faces, mpaka CNN, BBC na vyombo vya habari vya kimataifa vilikuwepo. Nilishambuliwa sana, ila nilisimama niliposimama.

Waliposusio hatuba ya rais pale bungeni Dodoma, pia nilikuwepo, nilisema tena it was not right na tulipofanya mjadala wa kumtambua rais au kutomtambua, pia nilisema, its a waste, kutomtambua kwa kauli na kumtambua kwa vitendo. Rais ana axist in real man hivyo umtambue usimtambue anabaki ni rais na yupo, hivyo kutomtambua ni kujidanyanya.

Nikimalizia hili la juzi, kwanza Lissu ni school mate wangu pale Ilburu, hivyo namfahamu fika, pili tulikuja kukutana nae Atlanta akiwa mwana harakati wa LEAT, hotuba yake ilikuwa na lots of flaws, kwa vile yeye ndie waziri kivuli wa sheria, Chadema walimwachia afanye kila kitu kwenye hotuba ile, laiti kama ingepitiwa na wabunge wengine wa Chadema, makini zaidi ya Lissu, wangekuja bna hotuba nyingine bora zaidi.

Naunga mkono walkout kama ishara ya protest lakini siungi mkono kuususia mjadala mzima bungeni unaomalizika leo. Japo Chadema inao wanasheria makini, lakini ni bure kabisa, wameshindwa kutumia upportunities za kuuzuia uwasilishwaji wa muswada huo kwa mara ya pili ambazo ziko proivided for na kanuni, hivyo kupoteza golden chance ya kuusimamisha muswada ule.

Kanuni za bunge ziko wazi kabisa kwa mbunge asiyeridhika na uwasilishwaji wa muswada na unaeleza wazi nini cha kufanya!. Chadema hawakufanya walichotakiwa kufanya na sasa wanaishia kuysusa huku wenzao wanazungumza!. Leo muswada unamalizika, bunge litakaa kama kapati kupitia kifungu kwa kifungu, vifungu vyote vitaafikiwa, bunge likakaa kama bunge, watausoma kwa mara ya tatu na kuupitisha hapo hapo.
Na kwa hasira na kibri, Jumatatu, JK atausaini kwa mbwembwe pale ikulu na utakuwa sheria!. Who are the looses?!.

Maadam Chadema wameamua kufa kuzungu na tai shingoni, na hawawezi tena kumeza matapishi yao, hii naiongeza kwenye ile list yangu ya "Chadema are Wrong!. That was yet Another Big Mistake!". (Naianzishia thread yake).


Pasco.

Naunga mkono mtazamo wako. Itabidi sasa kutafuta dignifying re- entry kwa kutengeneza kafujo hivi kaku-win public sympathy
 
Asante, Mzee Mwanakijiji kwa hili, ila mimi naomba kutofautiana na wewe, na msimamo wa Chadema.

Wakati wa kutangaza matokeo ya urais, mimi binafsi nilikuwepo pale ukumbini, Chadema walisusa, nilitofautiana nao na nikasema humu kuwa hiyo ni golden opportunity ya kuiambia dunia kuwa uchaguzi wetu haukuwa huru na wa haki, you just tell it infrot of their faces, mpaka CNN, BBC na vyombo vya habari vya kimataifa vilikuwepo. Nilishambuliwa sana, ila nilisimama niliposimama.

Waliposusio hatuba ya rais pale bungeni Dodoma, pia nilikuwepo, nilisema tena it was not right na tulipofanya mjadala wa kumtambua rais au kutomtambua, pia nilisema, its a waste, kutomtambua kwa kauli na kumtambua kwa vitendo. Rais ana axist in real man hivyo umtambue usimtambue anabaki ni rais na yupo, hivyo kutomtambua ni kujidanyanya.

Nikimalizia hili la juzi, kwanza Lissu ni school mate wangu pale Ilburu, hivyo namfahamu fika, pili tulikuja kukutana nae Atlanta akiwa mwana harakati wa LEAT, hotuba yake ilikuwa na lots of flaws, kwa vile yeye ndie waziri kivuli wa sheria, Chadema walimwachia afanye kila kitu kwenye hotuba ile, laiti kama ingepitiwa na wabunge wengine wa Chadema, makini zaidi ya Lissu, wangekuja bna hotuba nyingine bora zaidi.

Naunga mkono walkout kama ishara ya protest lakini siungi mkono kuususia mjadala mzima bungeni unaomalizika leo. Japo Chadema inao wanasheria makini, lakini ni bure kabisa, wameshindwa kutumia upportunities za kuuzuia uwasilishwaji wa muswada huo kwa mara ya pili ambazo ziko proivided for na kanuni, hivyo kupoteza golden chance ya kuusimamisha muswada ule.

Kanuni za bunge ziko wazi kabisa kwa mbunge asiyeridhika na uwasilishwaji wa muswada na unaeleza wazi nini cha kufanya!. Chadema hawakufanya walichotakiwa kufanya na sasa wanaishia kuysusa huku wenzao wanazungumza!. Leo muswada unamalizika, bunge litakaa kama kapati kupitia kifungu kwa kifungu, vifungu vyote vitaafikiwa, bunge likakaa kama bunge, watausoma kwa mara ya tatu na kuupitisha hapo hapo.
Na kwa hasira na kibri, Jumatatu, JK atausaini kwa mbwembwe pale ikulu na utakuwa sheria!. Who are the looses?!.

Maadam Chadema wameamua kufa kuzungu na tai shingoni, na hawawezi tena kumeza matapishi yao, hii naiongeza kwenye ile list yangu ya "Chadema are Wrong!. That was yet Another Big Mistake!". (Naianzishia thread yake).


Pasco.

Naunga mkono mtazamo wako. Itabidi sasa kutafuta dignifying re- entry kwa kutengeneza kafujo hivi kaku-win public sympathy
 
"For every action, there is an equal and opposite reaction."

hahahaaaaa, nimeipenda hiii
 
Asante, Mzee Mwanakijiji kwa hili, ila mimi naomba kutofautiana na wewe, na msimamo wa Chadema.

Wakati wa kutangaza matokeo ya urais, mimi binafsi nilikuwepo pale ukumbini, Chadema walisusa, nilitofautiana nao na nikasema humu kuwa hiyo ni golden opportunity ya kuiambia dunia kuwa uchaguzi wetu haukuwa huru na wa haki, you just tell it infrot of their faces, mpaka CNN, BBC na vyombo vya habari vya kimataifa vilikuwepo. Nilishambuliwa sana, ila nilisimama niliposimama.

Waliposusio hatuba ya rais pale bungeni Dodoma, pia nilikuwepo, nilisema tena it was not right na tulipofanya mjadala wa kumtambua rais au kutomtambua, pia nilisema, its a waste, kutomtambua kwa kauli na kumtambua kwa vitendo. Rais ana axist in real man hivyo umtambue usimtambue anabaki ni rais na yupo, hivyo kutomtambua ni kujidanyanya.

Nikimalizia hili la juzi, kwanza Lissu ni school mate wangu pale Ilburu, hivyo namfahamu fika, pili tulikuja kukutana nae Atlanta akiwa mwana harakati wa LEAT, hotuba yake ilikuwa na lots of flaws, kwa vile yeye ndie waziri kivuli wa sheria, Chadema walimwachia afanye kila kitu kwenye hotuba ile, laiti kama ingepitiwa na wabunge wengine wa Chadema, makini zaidi ya Lissu, wangekuja bna hotuba nyingine bora zaidi.

Naunga mkono walkout kama ishara ya protest lakini siungi mkono kuususia mjadala mzima bungeni unaomalizika leo. Japo Chadema inao wanasheria makini, lakini ni bure kabisa, wameshindwa kutumia upportunities za kuuzuia uwasilishwaji wa muswada huo kwa mara ya pili ambazo ziko proivided for na kanuni, hivyo kupoteza golden chance ya kuusimamisha muswada ule.

Kanuni za bunge ziko wazi kabisa kwa mbunge asiyeridhika na uwasilishwaji wa muswada na unaeleza wazi nini cha kufanya!. Chadema hawakufanya walichotakiwa kufanya na sasa wanaishia kuysusa huku wenzao wanazungumza!. Leo muswada unamalizika, bunge litakaa kama kapati kupitia kifungu kwa kifungu, vifungu vyote vitaafikiwa, bunge likakaa kama bunge, watausoma kwa mara ya tatu na kuupitisha hapo hapo.
Na kwa hasira na kibri, Jumatatu, JK atausaini kwa mbwembwe pale ikulu na utakuwa sheria!. Who are the looses?!.

Maadam Chadema wameamua kufa kuzungu na tai shingoni, na hawawezi tena kumeza matapishi yao, hii naiongeza kwenye ile list yangu ya "Chadema are Wrong!. That was yet Another Big Mistake!". (Naianzishia thread yake).


Pasco.

Mara nyingi nimekusoma sijui kama huwa nakuelewa kiufasaha kabisa huwa unakaa upande gani....Upande wakutumia taaluma yako kutetea haki ama kutumia taaluma yako ku-justfy certain desires. Sincerely I am confused of who you are! Kwahili dhamiri yako inasimamia wapi maana the main concept ni dhamira regardless of what we know or we dont know.

Uko kama vile unataka upendwe na pande zote kwa watawala uonekane uko rational na kwa wanaharakati kuwa uko mkweli...

Ukweli wa weza kutumiwa kufanikisha evil desires kinyume na dhamira ambayo hata kama inakosea lakini ina mwanga zaidi kuliko ukweli uliotumiwa kama pazia la kuficha dhamira mbaya.
 
Mara nyingi nimekusoma sijui kama huwa nakuelewa kiufasaha kabisa huwa unakaa upande gani....Upande wakutumia taaluma yako kutetea haki ama kutumia taaluma yako ku-justfy certain desires. Sincerely I am confused of who you are! Kwahili dhamiri yako inasimamia wapi maana the main concept ni dhamira regardless of what we know or we dont know.

Uko kama vile unataka upendwe na pande zote kwa watawala uonekane uko rational na kwa wanaharakati kuwa uko mkweli...

Ukweli wa weza kutumiwa kufanikisha evil desires kinyume na dhamira ambayo hata kama inakosea lakini ina mwanga zaidi kuliko ukweli uliotumiwa kama pazia la kuficha dhamira mbaya.

Hey Jf admn naomba mtufikirie tunaotumia simu ili tuweze kugongea "like" post makini kama hizi.
Hoja ya Pasco inafanana na ya Godfrey Dillunga wa Raia Mwema leo,
nakubali ni watu makini, ila umakini ukizidi sana unakuwa kuyumbishana tu.
Mwisho wa siku unaanguka tu kama Mfalme Suleman na hekima zake.
 
Mkuu mwanakijiji nakubaliana na wewe 100%. CCM haina dhamira wala haidhamirii kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa huru kwa kupata katiba inayosimamia uhuru huo. Kinachofanyika sasa kama ambavyo walivyofanya 1992 kukubali mfumo wa vyama vingi ambao mpaka leo kwao wao ni kama haupo, ni ku torpedo pressure from foreign donors kuwa CCM inasimamia reform, kitu ambacho hata Mkapa alikisema lingekuwa ni kosa kuona linasimamiwa na wapinzani maana litazamaa matunda ambayo ni neema kwa Tanzania ila ni angamizo kwa mustakabali wa CCM.

CCM na wabunge wake wamekaa kama chama na kuweka mbele masilahi ya chama huku wakijaribu kuwaridhisha wafadhili kuwa wanasimamia mageuzi ya katiba. Katiba ya Tanzania haiwezi kupatikana wakati CCM ikiwa madarakani hata kidogo, kuna ushahidi tosha kuanzia Kenya, Ghana et al. Katiba ya kweli itapatikana pale wale waliopo CCM kwa sasa wataakapoona kuwa hawana cha kupoteza.

Njia pekee ni kuwaacha wacheze ngoma yao, sisi tuwe watazamaji tu, tukiingia kucheza na sisi basi tumeipatia uhalali ngoma hiyo mbele ya jumuiya za kimaifa. International community will not recognise this move if it leaves part of Tanzania out of the matrix box. Ndiyo maana najiuliza hivi CCM kupitia kina Membe walipokuwa wakisisitiza kuwa serikali ya mpito Libya iwajumuishe walibya wote hata wale waliokuwa ndani ya gaddafi katika kupata national consesus walikuwa wanamaanisha nini hasa?. Ni kwamba wanaimba wimbo wasioujua?. Charity begins at home, CCM inafanya nini kutuunganisha watanzania katika huu mchakato muhimu?.

They are wrong! they are wrong! and history will judge them that they are wrong!.
 
Akili ipo timamu mbona kwenye RED na BLUE zinatofautiana Mkuu? premises deffer with conclusion
POMPO, inapotokea premise ika differ na conclusion ndio kipimo chako cha akili isiyo timamu?.
Nimesema, na nasema tena, naiunga mkono 'walkout' ya Chadema kama ishara ya protest dhidi ya kuburuzwa, lakini siungi mkono kuisusa hoja nzima at its totality, kwasababu, kupitia kanuni, Chadema had a chance ya kuisimamisha hoja nzima nzima, they lost that one and only chance kuisusa kabisa hoja yote ni another loss!.

Ukifuatilia kanuni ya 86 ya bunge, fasiri ya 2007, utakuta muswada ukiwasilishwa kwa mara ya kwanza, hautoi fursa za kujadiliwa, mjadala ni unapowasilishwa mara yapili tuu, sasa Chadema wamesusa na mjadala, muswada utapita na kuwa sheria, bila imput ya Chadema!

Who is the looser?.
 
Kuna mchezo unachezwa na wapo wanaopenda kucheza mchezo huo. Mchezo unaochezwa na wenye kucheza hucheza. Mchezo huo huchezwa na wale wenye kuupenda mchezo huo. Ukikaa pembeni wanakushangaa kwanini hutaki kucheza na ukiingia kucheza utakavyo watakuuliza 'mbona huchezi kama sisi'? Ukiwaambia mchezo wenu haufuati kanuni wala mlio wa muziki watakuambia haijalishi wewe cheza tu alimradi uonekane unacheza. kuna mchezo unachezwa na wapo wanaopenda kucheza mchezo huo!
 
Ukifuatilia kanuni ya 86 ya bunge, fasiri ya 2007, utakuta muswada ukiwasilishwa kwa mara ya kwanza, hautoi fursa za kujadiliwa, mjadala ni unapowasilishwa mara yapili tuu, sasa Chadema wamesusa na mjadala, muswada utapita na kuwa sheria, bila imput ya Chadema!

Who is the looser?.

Ni lini CCM wamekubali fundamental change ya miswada au mapendekezo ya CDM au chama kingine baada ya mjadala mrefu? Maana kuna jambo moja watu kuzungumza na kupiga kelele Bungeni lakini ni jambo jingine kabisa watu kusikilizwa. Sasa wapo waliotaka kuona CDM wanazungumza kwa ukali na kujenga hoja halafu mswada ukapitishwa vile vile. Mimi nadhani wamewarahisishia kile ambacho we all knew was inevitable kuwa mswada utapita regardless. Kwanini hizo input zitoke kwa CDM? Ina maana watu wote mle ndani ya CCM hakuna mwenye mawazo ya kuukosoa vikali mswada huo? Kama hakuna - ina maana CCM walikuwa na kura za kuosha tu kuupitisha bila input ya CDM. If so, kwanini watu wanasikitika kuona CDM hawakusema lolote au kutoa mapendekezo ambayo yalikataliwa tangu Marchi?
 
Mara nyingi nimekusoma sijui kama huwa nakuelewa kiufasaha kabisa huwa unakaa upande gani....Upande wakutumia taaluma yako kutetea haki ama kutumia taaluma yako ku-justfy certain desires. Sincerely I am confused of who you are! Kwahili dhamiri yako inasimamia wapi maana the main concept ni dhamira regardless of what we know or we dont know.


Ame, nimekuelewa, na sishangai kwa wewe kutonielewa, na hauko peke yako, kuna wengi tuu wasionielewa.
Hoja yako hii Upande wakutumia taaluma yako kutetea haki ama kutumia taaluma yako ku-justfy certain desires
Hapa umenigusa, ila pia umeniumiza kwa kiasi fulani, mimi kitaaluma ni mwanahabari/mwanasheria, bahati mbaya sana, nimejikata sijazitumia hizo taaluma zote mbili ipasavyo kwa sababu kwenye habari siko, na kwenye sheria bado sijaanza. Kama ni mpenda haki wa kweli, lazima utaumia unapoona haki za msingi za binadamu zinakiukwa na wale wale waliopaswa kuzilinda, na inapokuwa una uwezo wa kufanya kitu, kuzuia, kulinda au kusaidia, lakini hufanyi, lazima dhamira yako itakusuta, na ndivyo dhamira yangu inavyonisuta simply kwa sababu nimetanguliza family interest mwanzo ndipo maslahi ya taifa yafuatie. Ila kwenye hii move ya Chadema, dhamira yangu ni safi with clear concious kuwa Chadema had a chance kusimamisha uwasilishaji huo kupitia kanuni ya 86 lakini hawakuitumia nafasi hiyo, lazima watatuambia ni kwanini?.

Uko kama vile unataka upendwe na pande zote kwa watawala uonekane uko rational na kwa wanaharakati kuwa uko mkweli...

Ukweli wa weza kutumiwa kufanikisha evil desires kinyume na dhamira ambayo hata kama inakosea lakini ina mwanga zaidi kuliko ukweli uliotumiwa kama pazia la kuficha dhamira mbaya.

Ame, unaweza kudhani hivi unavyodhani, mimi naendelea kusimamia ukweli ninauamini, 'nothing but the the truth'. Ni kwa ukweli huu, nimejikuta there are always a price to pay, na nimeshalipa sana na ninaendelea kulipa, kama unafikiri ninaandika ili kujipendekeza kwa watawala, tafuta post zangu unisome msimamo wangu kuhusu serikali yetu, JK, CCM etc aone kama mimi ni type ya fagilia tuu!. Kama unadhani najipendekeza kwa wanaharakati au kwa vyama vya upinzani, tafuta posti zangu kuhusu msimamo wangu dhidi ya Chadema, vyama vya upinzani au wanaojiita wana harakati.

Mimi ni Pasco wa jf, sio mara moja wala mbili, nimesema humu mimi ni nani na ninasimamia nini, baada ya 2015, au may be 2020, ndipo wengi watanielewa ni nini ninachokipigania!.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kuna mchezo unachezwa na wapo wanaopenda kucheza mchezo huo. Mchezo unaochezwa na wenye kucheza hucheza. Mchezo huo huchezwa na wale wenye kuupenda mchezo huo. Ukikaa pembeni wanakushangaa kwanini hutaki kucheza na ukiingia kucheza utakavyo watakuuliza 'mbona huchezi kama sisi'? Ukiwaambia mchezo wenu haufuati kanuni wala mlio wa muziki watakuambia haijalishi wewe cheza tu alimradi uonekane unacheza. kuna mchezo unachezwa na wapo wanaopenda kucheza mchezo huo!
Mzee Mwanakijiji, with due respect, we all know politics is a dirty game, and we all knows the games people play!.

Kabla ya mchezo wowote, rules of the game zinakuwa put forward, timu zote ninakubali kuwa zita play by the rules, on the middle of the game, unakuta rafu za ajabu na refa anazifungia macho ili game iendelee wewe ushindwe. Kwenye rules of the game, pia wamekuwekea provision kama utayaona hayo unayoyaona, unatakiwa ufanye nini within the rules ili kuusimamisha mchezo na wewe kutendewa haki, haki yako ni kusimama kucheza na kubaki uwanjani kushinikiza fair play vinginevyo pambano livunjike.

No matter how bad your situation is, don't loose your temper, you can make it worse!. Hata kama mnajua refa hawatetei haki, bado ni lazima kupeleka timu uwanjani na kutumia kanuni kumlazimisha refa kutenda haki, na sio ku play no show, wenzenu watajipatia ushindi wa mezani!.

Isome kwa makini kanuni ya 86, kwa nini Chadema hawakuitumia kuusimamisha muswada huo?. Hivi unajua kuwa hotuba ya kambi ya upinzani ni pre-requisite ili muswada wa serikali usonge mbele?. Kwanini Mhe. Lissu hakuitumia kanuni hiyo ya 86 kutosoma hotuba ya kambi ya upinzani, hivyo muswada lazima ungekwama kuwasilishwa kwa mara ya pili na ungelazimika kurudishwa kwenye kamati?!.

Kwa vile Chadema had a chance, but lost the chances they've been given tena kwa kuwafungulia mlango wa kuendelea na safari, huko kususia wataachieve nini?.

Kwenye mapambano yoyote, au vitani, kuna ile strategy ya "no retreat, no surender", hapa ni kupigana mpaka risasi ya mwisho, na tone la mwisho la damu linamwagika, at the end of the day, unakuwa umekufa kishujaa kama Ghadafi!.

Stategy nyingine ni ile ya "if you can't beat them, join them", ili ujijenge upya na kuja ku fight them from within. Hii ni strategy ya compromise, "if you can get what you want, take what you get" ili safari iendelee na sio kuisusa safari jumla, wakati wenzako wanaendelea, mwisho wa siku, watakaofanikisha safari, ni wale tuu waliofika mwisho wa safari no matter how rough the road was!.
 
Ni lini CCM wamekubali fundamental change ya miswada au mapendekezo ya CDM au chama kingine baada ya mjadala mrefu? Maana kuna jambo moja watu kuzungumza na kupiga kelele Bungeni lakini ni jambo jingine kabisa watu kusikilizwa. Sasa wapo waliotaka kuona CDM wanazungumza kwa ukali na kujenga hoja halafu mswada ukapitishwa vile vile. Mimi nadhani wamewarahisishia kile ambacho we all knew was inevitable kuwa mswada utapita regardless. Kwanini hizo input zitoke kwa CDM? Ina maana watu wote mle ndani ya CCM hakuna mwenye mawazo ya kuukosoa vikali mswada huo? Kama hakuna - ina maana CCM walikuwa na kura za kuosha tu kuupitisha bila input ya CDM. If so, kwanini watu wanasikitika kuona CDM hawakusema lolote au kutoa mapendekezo ambayo yalikataliwa tangu Marchi?

Mzee Mwanakijiji, hakuna sababu ya kujiuliza ni lini CCM wamekubali nini, huu ni ugomvi wa kisu, mmoja kashika kwenye mpini na mwingingine anatakiwa ashike kwenye makali, mvutane kugombea hicho kisu!. Kanuni inaruhusu kabla hamjaanza kuvutana, unasema kama una any reservations, Chadema ilitakiwa iseme hatuwezi kuingia kwenye game hii wakati mwenzangu ameshika mpini, ili kuleta ushindani wa haki, ama lazima hiki kisu kibadilishwe au kiwekwe mipini miwili ili na kila mmoja ashike mpini, au kibadilishwe na wote tushike makali. Provision hiyo was there kwenye ibara ya 86 lakini Chadema, hawakuitumia!.

Kipenga kimepulizwa, Chadema kaingia uwanjani ile kushika tuu kisu, akagundua mwenzake kashika mpini, ile kujaribu tuu akaona kitamkata, akaamua kuachia na kutoka nje ya uwanja. Pale unapoachia, unawaambia nini watazamaji wa hiyo game?, CCM si atainua kisu juu na kushangiliwa kwa ushindi?!.
 
Hey Jf admn naomba mtufikirie tunaotumia simu ili tuweze kugongea "like" post makini kama hizi.
Hoja ya Pasco inafanana na ya Godfrey Dillunga wa Raia Mwema leo,
nakubali ni watu makini, ila umakini ukizidi sana unakuwa kuyumbishana tu.
Mwisho wa siku unaanguka tu kama Mfalme Suleman na hekima zake.
jouneGwalu, nakubaliana na wewe, ila hoja sio umakini, bali ukiwa mkweli mno, ukweli unaponza!.

Kwa upende wangu, kuanguaka sio mwisho wa siku, tayari ukweli ulishaniponza siku nyingi, na hapa nilipo, ninagalagala kwenye mavumbi, ila ninaamini kuwa iko siku nitafanikiwa kuinuka na kusimama tena na nitakaposimama, nitakua imara zaidi ili kuzuia nisianguke tena.

Nitakapo simama, nitakinoa kile kisu kiwe cha makali kuwili ili kikate kila upande na sehemu ya nyuma ya hicho kisu, kitakuwa na msumeno unaokata nyuma na mbele!.
 
POMPO, inapotokea premise ika differ na conclusion ndio kipimo chako cha akili isiyo timamu?.
....Chadema had a chance ya kuisimamisha hoja nzima nzima, they lost that one .....

Chance ipi, wakati spika alikataa kuwasikiliza?
 
Mzee Mwanakijiji, with due respect, we all know politics is a dirty game, and we all knows the games people play!.

Kabla ya mchezo wowote, rules of the game zinakuwa put forward, timu zote ninakubali kuwa zita playing by the rules, on the middle of the games, unakuta rafu za ajabu na refa anazifungia macho ili game iendelee wewe ushindwe. Kwenye rules of the game, pia wamekuwekea profision kama utayaona hayo unayoyaona, unatakiwa ufanye nini with the rules, ni kusimama kucheza na kubaki uwanjani kushinikiza fair play vinginevyo pambano livunjike.


Isome kwa makini kanuni ya 86, kwa nini Chadema hawakuitumia kuusimamisha muswada huo?. Hivi unajua kuwa hutuba ya kambi ya upinxzani ni pre requisite ili muswada wa serikali usonge mbele?. Kwanini Mhe. Lissu hakuitumia kanuni hiyo ya 86 kutosoma hotuba ya kambi ya upinzani, hivyo muswada lazima ungekwama kuwasilishwa kwa mara ya pili na ungelazimika kurudishwa kwenye kamati?!.

Kwa vile Chadema had a chance, but lost the chances they've been given tena kwa kuwafungulia mlango wa kuendelea na safari, huko kususia wataachieve nini?.
QUOTE]

Sorry Pasco na nunua kesi ambayo si yangu...maana mm ulinijibu nikaridhika kabisaa! Lakini hapa bado ukani rudisha kwenye utata ule ule niliokuwa nao mwanzo.

Umeeleza rule of game...katika hili kwa public show ya bunge umeona refere anacheza vipi na wachezaji wana experience gani? Ninafanya kidogo political economy and know something to do with game theory sasa ebu ni ambie katika hili kama path na probabilities zote za ma-strategist zinakupeleka kwenye risk i.e a probability of winning is small comapred to failing wewe kama CHADEMA unge fanyaje?

Further more kwani walipo walk out sababu ilikuwa nini? Si kwamba speaker alikataa kutoa nafasi kwa wabunge kama watatu hivi walioomba mwongozo and the like? Sasa hiyo kanuni wanaitumiaje kama hata miongozo haipewi nafasi? Well sheria bado mi mwanafunzi wa 1st year haijakaa sawa hapo utanishinda kwa argument..Lakini if u r objective u know what I mean.

Then naomba uangalie dhamira ya CCM ukilinganisha na hii ya CDM uone nani anamweka mwenzake kwenye suspence (Prisoners dilemma?) na nani anawakilisha interest ya public (Objectively) usiniambie kwakua CCM ina wabunge wengi bila kusema walipatikanaje...So moja kwa moja unaona kabisa nani mwenye dhamira njema na nani ana agenda yake ya siri lakini katika kufikia malengo kila mmoja ana boronga ki vyake na sisi kama professionals tusaidie malengo ya nani yafikiwe as far as their dhamira is concerned to the public? Hili ndilo lilikua swali langu la msingi.
 
Mzee Mwanakijiji, with due respect, we all know politics is a dirty game, and we all knows the games people play!.

Kabla ya mchezo wowote, rules of the game zinakuwa put forward, timu zote ninakubali kuwa zita playing by the rules, on the middle of the games, unakuta rafu za ajabu na refa anazifungia macho ili game iendelee wewe ushindwe. Kwenye rules of the game, pia wamekuwekea profision kama utayaona hayo unayoyaona, unatakiwa ufanye nini with the rules, ni kusimama kucheza na kubaki uwanjani kushinikiza fair play vinginevyo pambano livunjike.


Isome kwa makini kanuni ya 86, kwa nini Chadema hawakuitumia kuusimamisha muswada huo?. Hivi unajua kuwa hutuba ya kambi ya upinxzani ni pre requisite ili muswada wa serikali usonge mbele?. Kwanini Mhe. Lissu hakuitumia kanuni hiyo ya 86 kutosoma hotuba ya kambi ya upinzani, hivyo muswada lazima ungekwama kuwasilishwa kwa mara ya pili na ungelazimika kurudishwa kwenye kamati?!.

Kwa vile Chadema had a chance, but lost the chances they've been given tena kwa kuwafungulia mlango wa kuendelea na safari, huko kususia wataachieve nini?.
QUOTE]

Sorry Pasco na nunua kesi ambayo si yangu...maana mm ulinijibu nikaridhika kabisaa! Lakini hapa bado ukani rudisha kwenye utata ule ule niliokuwa nao mwanzo.

Umeeleza rule of game...katika hili kwa public show ya bunge umeona refere anacheza vipi na wachezaji wana experience gani? Ninafanya kidogo political economy and know something to do with game theory sasa ebu ni ambie katika hili kama path na probabilities zote za ma-strategist zinakupeleka kwenye risk i.e a probability of winning is small comapred to failing wewe kama CHADEMA unge fanyaje?

Further more kwani walipo walk out sababu ilikuwa nini? Si kwamba speaker alikataa kutoa nafasi kwa wabunge kama watatu hivi walioomba mwongozo and the like? Sasa hiyo kanuni wanaitumiaje kama hata miongozo haipewi nafasi? Well sheria bado mi mwanafunzi wa 1st year haijakaa sawa hapo utanishinda kwa argument..Lakini if u r objective u know what I mean.

Then naomba uangalie dhamira ya CCM ukilinganisha na hii ya CDM uone nani anamweka mwenzake kwenye suspence (Prisoners dilemma?) na nani anawakilisha interest ya public (Objectively) usiniambie kwakua CCM ina wabunge wengi bila kusema walipatikanaje...So moja kwa moja unaona kabisa nani mwenye dhamira njema na nani ana agenda yake ya siri lakini katika kufikia malengo kila mmoja ana boronga ki vyake na sisi kama professionals tusaidie malengo ya nani yafikiwe as far as their dhamira is concerned to the public? Hili ndilo lilikua swali langu la msingi.
Ame, based on your argument, kama unachukua sheria na uko mwaka wa kwanza, then hongera, you are on the right track.

By the time Chadema wanaomba muongozo, it was too late, walisha i bypass opportunity ya kuusomamisha huo miswada.

Lissu alitakiwa kutumia kanuni ya 86 kuuzuia na hivyo hakutakiwa hata kuisoma hotuba yake!.

Ili muswada wa serikali usonge mbele lazima maoni ya kambi ya upinzani yatolewa na yasipotolewa muswada husika unabaki stand still na kurudishwa kwenye kamati ambayo Lissu ni mjumbe.

Kitendo cha Lissu kutoa maoni ya upinzani haijalishi maoni hayo yanapinga vipi kama kanuni inasema utaratibu wa kuuzua muswada ni abc, Chadema walitakiwa kuitumia kanuni hiyo na sii vinginevyo.

Kwa vile wewe ni mwanasheria mtarajiwa, nakushauri soma kanuni husika halafu ujustify walichokifanya kama ndicho.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Pasco,

Huwa ninajiuliza kila mara kwanini huwa unapenda kuwaaminisha watu kuwa siasa ni mchezo mchafu?

Kwanini usichukue hatua kuzuia mchezo huo mchafu kuchezwa?

Mimi naamini kuwa siasa ni mchezo msafi, ila umeachwa kuchezwa na baadhi ya watu ambao ni wachafu na hivyo kutokana na kiwango cha uchafu wao kuzidi wale walioko nje ambao ni wasafi basi mchezo wote unaonekana kuwa umechafuka.

Mchezo huu unahitaji watu wengi wasafi waingie kuucheza na hivyo wale wachafu kukosa fursa na hatimaye uendelee kuwa msafi daima.
 
Ame, based on your argument, kama unachukua sheria na uko mwaka wa kwanza, then hongera, you are on the right track.

By the time Chadema wanaomba muongozo, it was too late, walisha i bypass opportunity ya kuusomamisha huo miswada.

Lissu alitakiwa kutumia kanuni ya 86 kuuzuia na hivyo hakutakiwa hata kuisoma hotuba yake!.

Ili muswada wa serikali usonge mbele lazima maoni ya kambi ya upinzani yatolewa na yasipotolewa muswada husika unabaki stand still na kurudishwa kwenye kamati ambayo Lissu ni mjumbe.

Kitendo cha Lissu kutoa maoni ya upinzani haijalishi maoni hayo yanapinga vipi kama kanuni inasema utaratibu wa kuuzua muswada ni abc, Chadema walitakiwa kuitumia kanuni hiyo na sii vinginevyo.

Kwa vile wewe ni mwanasheria mtarajiwa, nakushauri soma kanuni husika halafu ujustify walichokifanya kama ndicho.

Mkuu Pasco, ungewapa CDM hiyo nondo ili iwasaidie, kwa kukaa kimya halafu unakuja kuongea afterwards sijui una maana gani.
 
Pasco,

Huwa ninajiuliza kila mara kwanini huwa unapenda kuwaaminisha watu kuwa siasa ni mchezo mchafu?

Kwanini usichukue hatua kuzuia mchezo huo mchafu kuchezwa?

Mimi naamini kuwa siasa ni mchezo msafi, ila umeachwa kuchezwa na baadhi ya watu ambao ni wachafu na hivyo kutokana na kiwango cha uchafu wao kuzidi wale walioko nje ambao ni wasafi basi mchezo wote unaonekana kuwa umechafuka.

Mchezo huu unahitaji watu wengi wasafi waingie kuucheza na hivyo wale wachafu kukosa fursa na hatimaye uendelee kuwa msafi daima.

Siasa itabaki kuwa mchezo mchafu kwasababu rule of the games does not allow watu wasafi kuingia kirahisi...

Huwezi kuingia siasa zote duniani bila ku-lobby, ku undermine wengine, etc..usafi unaanza kutoka..

Nafikiri ni wishingfull thinking kusema watakuwepo watu wema kwenye siasa..

Kwakuwa watu walioko kwenye siasa ni wachafu dawa ni kutengeneza utaratibu (system) ya kuwa monitor ..

Walichofanya chadema ni kuwaachia wachafu waendelea bila kuwa exposed..
 
Back
Top Bottom