safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,836
Mwanaume anaechukua kahaba akaenda nae kufanya uzinzi na akaachana nae akaendelea na hamsini zake,na yule anaetafuta watoto wasafi waliokuwa wako nyumbani wametulia akazini nao wakuu dhambi ni ile ile.
Jamii isiwaseme sana wale wanaochukua makahaba ikawaacha wale ambao wanachukua wasiokuwa makahaba na kuona kwamba hii sio shida sana.
Jamii ijikite kuwasema na kuwazuia watoto wa kike na kuwatunza kimaadili zaidi ili wasiingie kwenye ukhaba,watakapofanya hivi wanatengeneza kizazi cha baadae huku kizazi cha sasa cha makahaba kikipotea taratibu.
Ukahaba hauishi kwa sababu jamii inaona kwamba ukahaba ni dhambi kubwa kuliko ile ya zinaa,wakati zinaa ni ile ile moja na dhambi ni ile ile tu.
Mwanaume akizini na kahaba,na mwanaume mwingine akizini na asiyekuwa kahaba hawa wote wamefanya uzinzi,lakini jamii itamchukia zaidi huyu aliyefanya na kahaba kuliko mwingine huyu,haya ni makosa inatakiwa wakemewe wote.
Zinaa ni moja dhambi ni ile ile,msikuze sana ionekane ukahaba ni dhambi kubwa kuliko hizo za kuzini na asiyekuwa kahaba.
Uzini kwa kutoa pesa ama uzini bure kinachoandikwa ni dhambi tu haijalishi umeifanya kwa kugharamia au bure.
Wanaoathirika na ukahaba zaidi ni wanawake.
Mzazi unapomuacha mwanao afanye zinaa na mwanaume wake lakini ukamkataza ukahaba ujue kuwa unamkataza asiww kahaba kwa jina lakini kimatendo anafanya sawa sawa na wale makahaba.
,USIKATAZE JINA,KATAZA MATENDO.
Jamii isiwaseme sana wale wanaochukua makahaba ikawaacha wale ambao wanachukua wasiokuwa makahaba na kuona kwamba hii sio shida sana.
Jamii ijikite kuwasema na kuwazuia watoto wa kike na kuwatunza kimaadili zaidi ili wasiingie kwenye ukhaba,watakapofanya hivi wanatengeneza kizazi cha baadae huku kizazi cha sasa cha makahaba kikipotea taratibu.
Ukahaba hauishi kwa sababu jamii inaona kwamba ukahaba ni dhambi kubwa kuliko ile ya zinaa,wakati zinaa ni ile ile moja na dhambi ni ile ile tu.
Mwanaume akizini na kahaba,na mwanaume mwingine akizini na asiyekuwa kahaba hawa wote wamefanya uzinzi,lakini jamii itamchukia zaidi huyu aliyefanya na kahaba kuliko mwingine huyu,haya ni makosa inatakiwa wakemewe wote.
Zinaa ni moja dhambi ni ile ile,msikuze sana ionekane ukahaba ni dhambi kubwa kuliko hizo za kuzini na asiyekuwa kahaba.
Uzini kwa kutoa pesa ama uzini bure kinachoandikwa ni dhambi tu haijalishi umeifanya kwa kugharamia au bure.
Wanaoathirika na ukahaba zaidi ni wanawake.
Mzazi unapomuacha mwanao afanye zinaa na mwanaume wake lakini ukamkataza ukahaba ujue kuwa unamkataza asiww kahaba kwa jina lakini kimatendo anafanya sawa sawa na wale makahaba.
,USIKATAZE JINA,KATAZA MATENDO.