na wanasiasa hao ni wanaccmMmeanza.Hili suala halina chembe za ukabila bali hayo ni matokeo ya ghilba za wanasiasa zilizodumu miaka nenda rudi kwa maslahi yao ya kisiasa na upande wa pili nh ukaidi wa asili wa wamaasai.Kama umdpata kuishi na wamaasai utakuwa umenielewa ninaposema maasai mi wabishi na wakaidi.