Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Siku za hivi karibuni nimeweka thread iliyokuwa inataka kujua dhambi ya asili iliyotendwa na Adamu na Eva, (Uzinifu au ni tunda kweli?)
Siku ya Alhamis 14/1/2010 saa 4 asubuhi, WAPO Redio iliyoko dar, itaendesha mjadala huu, na kutakuwa na mgeni studioni atakayefafanua kuwa hawakula tunda ila walifanya uzinifu, bila shaka atakuwa na ushahidi
Wote tunatakiwa kufuatilia mjadala huu na kupiga simu kuuliza maswali.
Siku ya Alhamis 14/1/2010 saa 4 asubuhi, WAPO Redio iliyoko dar, itaendesha mjadala huu, na kutakuwa na mgeni studioni atakayefafanua kuwa hawakula tunda ila walifanya uzinifu, bila shaka atakuwa na ushahidi
Wote tunatakiwa kufuatilia mjadala huu na kupiga simu kuuliza maswali.