Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,032
- 1,372
Jamani najaribu kuwa Devil's Advocate kwenye hii Saga ya Manara VS Mo/Barbara/Simba
Nitaenda kwenye kupande ambao Manara ana claim Simba inanyonywa na Mo, kuwa kusema Mo anasema hapati faida ni uongo
naomba anaejua.
Simba kwenye mikataba yake ya 5 yrs ago kuanzia Sport pesa na mengineyo ukiacha huu wa Vunjabei ambao ni wa mwaka huu simba wanaingiza shilingi ngapi then tuchukue gharama za uendeshaji wa team tuone je, kuna faida inabaki?
Kwa haraka haraka tukichukua report ya Yanga ya mapato na matumizi, utaona Yanga walitengeneza faida ya between 50m to 150m kama sikosei katika miaka miwili nyuma kabla ya hapo walikuwa na hasara, ila GSM alivyo pump in moneys nje ya mkataba wake wa jezi ndio mambo yakaonekana kiasi fulani stable, so kwa faida hiyo ya Yanga tunaweza kusema kuwa wame break even tu.
Maana 100m ni kuweza kusajili local players tu huwezi kuleta mchezaj wa maana kutoka nje au utaweza kulipa mishahara pengine ya mwez tu.
Sasa tukija kwa Simba kwa scenario hiyo hiyo japo wao hawajatoa mapato na matumizi ila nina uhakika mapato yao kutoka vyanzo vingine hawatofautiani sana na Yanga, labda kuanzia mwaka huu.
Ina maana kama Yanga walisema wametumia zaidi ya 7b kwenye huu msimu na wameingiza about the same, na wala hawakushiriki kimataifa, basi naamini Simba nao watakuwa wametumia a bit more pengine 8b au 9b kwa msimu huu, maana wao walishiriki kimataifa. Na bonus za mechi hazipungui kati ya 50m hadi 100m kutegemea umuhimu wa mechi na hapo bado bonus za ubingwa ambapo mshindi sijui anapata ngapi zaidi ya sportpesa kutoa 100m.
Kwahiyo wapi Mo kapata faida kwa Simba, mnaweza kusema kwenye matangazo yake ya kwenye jersey ambapo aliingia mkataba na Simba wa 200m kwa mwaka, je tuseme asingekuwepo kuna kampuni gani 4 years ago ingetoa hata 500m kwa kuweka udhamini wa jersey ndio maana hata GSM ana tender ya ku supply jersey kit na kapiga matangazo yake ya magodoro kwenye jersey
So tukubali tukatae pengine Mo ataanza kupata faida Simba lakini sio ndan ya hii 5 years iliopita na pengine ni mpaka another 5 yrs to come
Same goes to Yanga na GSM kama wakija kuwa investors maana wanachofanya GSM na MO ni kuanza kuaandaa shamba na kupanda mbegu, shamba walilolokuta Porin tukisema wanapata faida eti sababu club zina mashabiki wengi, mashabiki ambao hawaingizi hata 500m kwa miez sita achilia mbali mwezi tutakuwa tunaongea porojo, imagine app ya yanga iliingiza 100+m kwa mwaka mzima wa fedha.
Wakati kama mashabiki laki tano tu wa Yanga wangepakua app na kulipia tuseme buku maana yake Yanga wangeingiza 500m
lakini wameingiza 100m kwa mwaka ndio mnasema hawa watu wanapata faida kwenye hizi club, kivipi?
Wakiondoka GSM Yanga na MO simba haijalishi mchakato ya mabadiliko imekamilika ama la kama hatatokea mtu mwenye mapenzi na mpira halafu pia ana mapenzi na team husika, amin nawaambia hizi club hazitatoboa.
Kuwekeza Simba na Yanga inabidi upende mpira kwanza then uwe mshabiki lia lia wa team hizo, maana ni mapenzi kwa team pekee ndio yatakayo kufanya uthubutu kuweka pesa yako huku ukijua hutapata faida.
Ni lazima ukubali kupoteza pesa nyingi sana ili uziweke hizo club stable, na mbaya zaidi kuziweka stable ni pamoja na kubadili watendaji. Kuondoa habari ya "hii team yetu" kuwe na professionalism kila idara.
Sikatai wanaotoa hoja kuwa Mo lazima atakuwa kuna vitu amefanya kujinufaisha kwa kutumia brand ya simba wanahoja yenye mashiko.. shida inakuja
Je brand ya Simba kabla ya Mo ilikuwa inamnufaisha nani.. kwa hoja ile ile ya Mo kujinufaisha basi kabla yake waliokuwepo wanaonufaika..
ila wametofautiana uwekezaji kuna walioweka kwa kila mtu kuleta mchezaji wake (alleged friend of simba group) kisha baadae aidha wawauze au wajilipe kwenye mapato mlangoni na kuna walionufaika kwa kutengenea jersy feki na kuziuza (baadhi ya wanachama)..
kumbuka hapo kabla simba na yanga jersey wanapata kwa mdhamin.. mara tbl mara sijui nani. na pia kuna walionufaika kwa kukodisha maduka pale msimbazi au kula ten percent kwenye activities zote za club kuanzia safar hadi malazi
.. maana yake ni kama shamba la urithi anaweza kulima kwa jembe sawa anaeweza kukodisha sehem ya shamba kwa mtu mwingine sawa. hakukuwa na utaratibu wa mwamachama wa kawaida sio tu kuhoji bali hata kuchangia..
wanachama walikuwa wanagombana na kuwaondoa viongoz kama team inafanya vibaya otherwise wanawaacha wajilie.. sasa leo tukisema wanachama wananyonywa ni lini wanachama waifaidika ikiwa hawa wao pia hawakuchangia chochote kuijenga club..
Namuona kama Mo alieamua kuja kulima kwa trekta kwenye shamba la urithi.. tofaut yake na waliokuwepo miaka ya nyuma ni uwezo wa kuwekeza .. waliokuwepo waliwekeza kwa kuleta wachezaj na kujilipa kwenye mapato au kuuza wachezaj au jersy feki.. yeye kuwekeza pa kubwa so analima shamba lote..
sasa kama hatutaki haya tuleten njia mbadala itakayo fanya kazi sio ya kwenye makaratasi msiseme mara kuna fans base kubwa.. kwa nchi zetu za africa hasa east africa.. fan base hata wawe 100m watabak kupiga kelele.. labda 1% ndo watakuwa wanachangia club..
sie hatuna desturi kama za wazungu mtu ananunua jearsy kila mwaka na analipia kila ticket.. na hapo team 80% inamikiwa na handfull of ppl tu.
yanga walikuwa wanachangishana wanapata 30m kwa mwez na waliweka harambee kwenye "kubwa kuliko" wakapata 900m ambazo kulikuwa na ahad ndan yake tena hata hao wanachama waliochangia hawakufika hata 1000. ukiondoa watu kama rostam waliotoa 100m + sasa nambie club zenye mashabiki zaid ya 1m michango kwa mbinde.
siku zote chema kinajiuza.. brand ikiwa katika hali ya kuweza kujiuza itapata zaid sasa huna cha ku offer lazima atakaekuja atakupa kutokana uhalisia sio mawazo ya kwenye makaratasi
kama kumpinga Mo au GSM.. inatakiwa iwe kwa data mnamuambia, bwana club yetu sie kujichanga 1b au 500m kwa mwez kawaida ww unataka kuja kuwekeza tuambie unaweka ngap..
sio useme tuna wanachama 3m ila club inaingiza 1b kwa wadhamin, mapato ya uwanjan ukijaa full 300m.. tena special mechi.. ulaya wanajaza uwanja hata team ikicheza na team ya daraja la pili FA.. ila huku team za kujaza uwanja ni zile za top 3 basi..
chelsea inamilikiwa na Mrusi lakin wanajaza uwanja.. mwanachama wa kawaida hapat mgao kutoka kwa mrusi yule
MPIRA NI URAIBU KAMA URAIBU MWINGINE WOWOTE.. hakuna anaefundishwa kupenda mpira unazaliwa unajikuta umechizika na huu mchezo au team flan. so you dont care to spend money hata kama hiyo pesa inaenda kwa mtu maana yake furaha yako ni yeye ajenge team akupe furaha ya mafanikio basi.. ila kama anapata pesa anaiwekeza kwengine team inafanya vibaya ndo hapo mtamnyooshe kidole..
man utd wanapiga kelele na glazers family sababu haifany vizur ila kila mwaka wanajaza uwanja na turnover zao ziko helthier.. Arsenal ndo kabisa ila bado watu wananunua jearsy na kununua tickets.. sababu tayar ni WALEVI WA SOKA NA WAPENZI WA MAISHA WA HIZO CLUB so wanalipia kupewa burudan kama mtu yoyote yule anaekwenda kwenye matamasha ya mzik tu
So jaman tujadili tukiwa positive ili tupate njia sahihi ya nini cha kufanya
Nitaenda kwenye kupande ambao Manara ana claim Simba inanyonywa na Mo, kuwa kusema Mo anasema hapati faida ni uongo
naomba anaejua.
Simba kwenye mikataba yake ya 5 yrs ago kuanzia Sport pesa na mengineyo ukiacha huu wa Vunjabei ambao ni wa mwaka huu simba wanaingiza shilingi ngapi then tuchukue gharama za uendeshaji wa team tuone je, kuna faida inabaki?
Kwa haraka haraka tukichukua report ya Yanga ya mapato na matumizi, utaona Yanga walitengeneza faida ya between 50m to 150m kama sikosei katika miaka miwili nyuma kabla ya hapo walikuwa na hasara, ila GSM alivyo pump in moneys nje ya mkataba wake wa jezi ndio mambo yakaonekana kiasi fulani stable, so kwa faida hiyo ya Yanga tunaweza kusema kuwa wame break even tu.
Maana 100m ni kuweza kusajili local players tu huwezi kuleta mchezaj wa maana kutoka nje au utaweza kulipa mishahara pengine ya mwez tu.
Sasa tukija kwa Simba kwa scenario hiyo hiyo japo wao hawajatoa mapato na matumizi ila nina uhakika mapato yao kutoka vyanzo vingine hawatofautiani sana na Yanga, labda kuanzia mwaka huu.
Ina maana kama Yanga walisema wametumia zaidi ya 7b kwenye huu msimu na wameingiza about the same, na wala hawakushiriki kimataifa, basi naamini Simba nao watakuwa wametumia a bit more pengine 8b au 9b kwa msimu huu, maana wao walishiriki kimataifa. Na bonus za mechi hazipungui kati ya 50m hadi 100m kutegemea umuhimu wa mechi na hapo bado bonus za ubingwa ambapo mshindi sijui anapata ngapi zaidi ya sportpesa kutoa 100m.
Kwahiyo wapi Mo kapata faida kwa Simba, mnaweza kusema kwenye matangazo yake ya kwenye jersey ambapo aliingia mkataba na Simba wa 200m kwa mwaka, je tuseme asingekuwepo kuna kampuni gani 4 years ago ingetoa hata 500m kwa kuweka udhamini wa jersey ndio maana hata GSM ana tender ya ku supply jersey kit na kapiga matangazo yake ya magodoro kwenye jersey
So tukubali tukatae pengine Mo ataanza kupata faida Simba lakini sio ndan ya hii 5 years iliopita na pengine ni mpaka another 5 yrs to come
Same goes to Yanga na GSM kama wakija kuwa investors maana wanachofanya GSM na MO ni kuanza kuaandaa shamba na kupanda mbegu, shamba walilolokuta Porin tukisema wanapata faida eti sababu club zina mashabiki wengi, mashabiki ambao hawaingizi hata 500m kwa miez sita achilia mbali mwezi tutakuwa tunaongea porojo, imagine app ya yanga iliingiza 100+m kwa mwaka mzima wa fedha.
Wakati kama mashabiki laki tano tu wa Yanga wangepakua app na kulipia tuseme buku maana yake Yanga wangeingiza 500m
lakini wameingiza 100m kwa mwaka ndio mnasema hawa watu wanapata faida kwenye hizi club, kivipi?
Wakiondoka GSM Yanga na MO simba haijalishi mchakato ya mabadiliko imekamilika ama la kama hatatokea mtu mwenye mapenzi na mpira halafu pia ana mapenzi na team husika, amin nawaambia hizi club hazitatoboa.
Kuwekeza Simba na Yanga inabidi upende mpira kwanza then uwe mshabiki lia lia wa team hizo, maana ni mapenzi kwa team pekee ndio yatakayo kufanya uthubutu kuweka pesa yako huku ukijua hutapata faida.
Ni lazima ukubali kupoteza pesa nyingi sana ili uziweke hizo club stable, na mbaya zaidi kuziweka stable ni pamoja na kubadili watendaji. Kuondoa habari ya "hii team yetu" kuwe na professionalism kila idara.
Sikatai wanaotoa hoja kuwa Mo lazima atakuwa kuna vitu amefanya kujinufaisha kwa kutumia brand ya simba wanahoja yenye mashiko.. shida inakuja
Je brand ya Simba kabla ya Mo ilikuwa inamnufaisha nani.. kwa hoja ile ile ya Mo kujinufaisha basi kabla yake waliokuwepo wanaonufaika..
ila wametofautiana uwekezaji kuna walioweka kwa kila mtu kuleta mchezaji wake (alleged friend of simba group) kisha baadae aidha wawauze au wajilipe kwenye mapato mlangoni na kuna walionufaika kwa kutengenea jersy feki na kuziuza (baadhi ya wanachama)..
kumbuka hapo kabla simba na yanga jersey wanapata kwa mdhamin.. mara tbl mara sijui nani. na pia kuna walionufaika kwa kukodisha maduka pale msimbazi au kula ten percent kwenye activities zote za club kuanzia safar hadi malazi
.. maana yake ni kama shamba la urithi anaweza kulima kwa jembe sawa anaeweza kukodisha sehem ya shamba kwa mtu mwingine sawa. hakukuwa na utaratibu wa mwamachama wa kawaida sio tu kuhoji bali hata kuchangia..
wanachama walikuwa wanagombana na kuwaondoa viongoz kama team inafanya vibaya otherwise wanawaacha wajilie.. sasa leo tukisema wanachama wananyonywa ni lini wanachama waifaidika ikiwa hawa wao pia hawakuchangia chochote kuijenga club..
Namuona kama Mo alieamua kuja kulima kwa trekta kwenye shamba la urithi.. tofaut yake na waliokuwepo miaka ya nyuma ni uwezo wa kuwekeza .. waliokuwepo waliwekeza kwa kuleta wachezaj na kujilipa kwenye mapato au kuuza wachezaj au jersy feki.. yeye kuwekeza pa kubwa so analima shamba lote..
sasa kama hatutaki haya tuleten njia mbadala itakayo fanya kazi sio ya kwenye makaratasi msiseme mara kuna fans base kubwa.. kwa nchi zetu za africa hasa east africa.. fan base hata wawe 100m watabak kupiga kelele.. labda 1% ndo watakuwa wanachangia club..
sie hatuna desturi kama za wazungu mtu ananunua jearsy kila mwaka na analipia kila ticket.. na hapo team 80% inamikiwa na handfull of ppl tu.
yanga walikuwa wanachangishana wanapata 30m kwa mwez na waliweka harambee kwenye "kubwa kuliko" wakapata 900m ambazo kulikuwa na ahad ndan yake tena hata hao wanachama waliochangia hawakufika hata 1000. ukiondoa watu kama rostam waliotoa 100m + sasa nambie club zenye mashabiki zaid ya 1m michango kwa mbinde.
siku zote chema kinajiuza.. brand ikiwa katika hali ya kuweza kujiuza itapata zaid sasa huna cha ku offer lazima atakaekuja atakupa kutokana uhalisia sio mawazo ya kwenye makaratasi
kama kumpinga Mo au GSM.. inatakiwa iwe kwa data mnamuambia, bwana club yetu sie kujichanga 1b au 500m kwa mwez kawaida ww unataka kuja kuwekeza tuambie unaweka ngap..
sio useme tuna wanachama 3m ila club inaingiza 1b kwa wadhamin, mapato ya uwanjan ukijaa full 300m.. tena special mechi.. ulaya wanajaza uwanja hata team ikicheza na team ya daraja la pili FA.. ila huku team za kujaza uwanja ni zile za top 3 basi..
chelsea inamilikiwa na Mrusi lakin wanajaza uwanja.. mwanachama wa kawaida hapat mgao kutoka kwa mrusi yule
MPIRA NI URAIBU KAMA URAIBU MWINGINE WOWOTE.. hakuna anaefundishwa kupenda mpira unazaliwa unajikuta umechizika na huu mchezo au team flan. so you dont care to spend money hata kama hiyo pesa inaenda kwa mtu maana yake furaha yako ni yeye ajenge team akupe furaha ya mafanikio basi.. ila kama anapata pesa anaiwekeza kwengine team inafanya vibaya ndo hapo mtamnyooshe kidole..
man utd wanapiga kelele na glazers family sababu haifany vizur ila kila mwaka wanajaza uwanja na turnover zao ziko helthier.. Arsenal ndo kabisa ila bado watu wananunua jearsy na kununua tickets.. sababu tayar ni WALEVI WA SOKA NA WAPENZI WA MAISHA WA HIZO CLUB so wanalipia kupewa burudan kama mtu yoyote yule anaekwenda kwenye matamasha ya mzik tu
So jaman tujadili tukiwa positive ili tupate njia sahihi ya nini cha kufanya