marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 967
- 1,693
Binafsi nimebase zaid kwenye mobile app so nakujibu kama ifuatavyo
Nadhani swali na unacho hitaji vinakinzana Ila acha nikujibu yote
GUI hii hizi sio code na wala huitaji kujua code zozote ,
bali uwe creative kwenye kudesign vitu kama mipangilio ya rangi na icon mara nyingi wanafanya graphics designer kwa adobe XD au illustrator
GUI implementation sasa kuileta kwenye code ndio kuna framework zake sasa binafsi nafanya zaidi flutter(dart )
Ila huko kuna django kwa Python na mengineyo
Nadhani swali na unacho hitaji vinakinzana Ila acha nikujibu yote
GUI hii hizi sio code na wala huitaji kujua code zozote ,
bali uwe creative kwenye kudesign vitu kama mipangilio ya rangi na icon mara nyingi wanafanya graphics designer kwa adobe XD au illustrator
GUI implementation sasa kuileta kwenye code ndio kuna framework zake sasa binafsi nafanya zaidi flutter(dart )
Ila huko kuna django kwa Python na mengineyo