Developers: Nimeiona Rwanda TECH hub za huko zinaonganisha nguvu kutegeneza Paypal for Africa

Cybergates

JF-Expert Member
Dec 2, 2016
672
1,390
Sijuagai developer wengi wa TZ tunashida gani, Tunaishia kutegeneza vi-blog tuna ng'ang'ana na GOOGLE ADs , Website za shule na taasisi na vi-system vya pharmac na HR tunapewe ela za kujikim siku mbili tatu baada ya hapo tunarudi kwenya hali ya ukata kama kawa, Sasa habari yetu ni mbaya Hapo rwanda wameanza nchakato wa kudevelop kitu kama paypay kwa ajili ya africa tech hub za huko zimesha anza mchakato.

Kweli developer wa TZ tumeshidwa kuunganisha nguvu tukawawahi wa rwanda hata kama sio 100% kama paypal, website za TZ zikaanza mfumo wa hapa hapa TZ kufanya malipo.

Tukishidwa na hapo Tujiande kuwasifia wa rwanda wakimaliza project yao. Hata kama hatuna ela skills tulio nayo kichwani ni zaidi ya mtaji, yani payment rail inatushida

ndo maana sometimes tunaitwa IT vitini, inabidi tufanye kitu tuwa prove hawa watu wrong
 
Aisee, hivi ndio vitu sasa.... mkuu hemu anzisha mchakato wa hili suala aisee.
 
Sisi tutengeneze PayPal yetu ya nini wakati tayari tuna Mobile Money (Mpesa, Tigo pesa, Airtel Money n.k) kinachohitajika ni kuscale out hizi huduma, mfano: Safaricom users wanaweza kupokea malipo kutoka Freelance platforms kama Upwork directly kwenye simu zao. Hatuhitaji kupoteza muda kwenye kutengeneza kitu Kipya wakati the potential ya mobile money bado hatujai realise. BoT tu inahitaji kuruhusu mapokezi ya pesa kutoka nje (Sera za malipo nchini zinahitaji kuboreshwa).

Mobile money bado ina potential nyingi. Mawazo yangu tu haya, lakini. Mnaojua zaidi yangu mnaweza kutoa mawazo bora kunizidi.

Kwa kifupi kinachohitajika: Scale, Strategic Partnership na major players (Kina Google, Amazon, Alibaba n.k), Monetary Reforms.
 
Just in case kama hukujua, Rwanda ndio IT hub kwa east Africa, wao wamewekeza sana kwenye mambo ya it kwenye bajeti yao ukilinganisha na nchi yoyote hapa east Africa.

Wakifanikiwa hili nchi utapata creditability kubwa sana kwenye IT, yote kwa yote hawa warwanda wapo serious kuifanya Rwanda iwe next level.

Nawakumbusha tu, Rwanda ndio nchi ya nne kwenye ripoti za hivi karibuni ilonayohusu nchi yenye matumizi mazuri ya mapato ya nchi, naona Rwanda ukiwa kama south Korea after 20 years.
 
Kwahiyo mkuu tunaofanya hizo kazi unatuchukulia poa?

Kama huoni faida ya hizi business systems ndogi ndogo in the bigger picture pole sana.
 
Back
Top Bottom