mpatto
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 766
- 1,027
Habarini Devs!!
Naomba msaada tafadhari!!
Ni kwa namna gani naweza kupata API za miamala iliyofanyika kwenye Benki automatically ili niihifadhi kwenye DB ya system yangu!?
Kwa mfano, nimetengeneza mfumo wa kumanage Wanafunzi chuoni, moja ya functions zake ni kutrack Nani amelipa kiasi gani! Sasa, nataka mwanafunzi akishalipa Benki, ile API ya ule muamala kutuka Benki hiyo, niipate na kisha niimanipulate kama vile kuihifadhi n.k
Nataka kitu kama vile mfumo Heslb ambapo mtu akishalipa basi anapata taarifa kutoka Heslb kwamba successful amelipa 30k
Mfumo upo tayari, bado sehemu hiyo tu ndio sina uzoefu nayo!! Naombeni msaada ndugu!!
Kudos!
Naomba msaada tafadhari!!
Ni kwa namna gani naweza kupata API za miamala iliyofanyika kwenye Benki automatically ili niihifadhi kwenye DB ya system yangu!?
Kwa mfano, nimetengeneza mfumo wa kumanage Wanafunzi chuoni, moja ya functions zake ni kutrack Nani amelipa kiasi gani! Sasa, nataka mwanafunzi akishalipa Benki, ile API ya ule muamala kutuka Benki hiyo, niipate na kisha niimanipulate kama vile kuihifadhi n.k
Nataka kitu kama vile mfumo Heslb ambapo mtu akishalipa basi anapata taarifa kutoka Heslb kwamba successful amelipa 30k
Mfumo upo tayari, bado sehemu hiyo tu ndio sina uzoefu nayo!! Naombeni msaada ndugu!!
Kudos!