Deus Kibamba aisifia hotuba ya Rais Kikwete kwa wazee wa Dar!

Hotuba ya Jana imemkuna Deus Kibamba na anasema:

1. Rais ana dhamira ya dhati ya watz kupata KATIBA Mpya

2. Watanzania wote kushiriki katika mchakato wa Kupata KATIBA MPYA

3. Maandamano si njia muafaka kufikia KATIBA MPYA.

Details angalia Channel Ten muda huu
Kwa mtu mwenye akili timamu lazima amemuelewa vizuri JK katika hotuba yake inayoonyesha dhamira thabiti ya kuwapatia watanzania katiba inayokidhi. Deus Kibamba ameelewa hilo ni vyema wanaharakati wengine waelewe pia japo hawalazimishwi. Watanzania tuungane kwa pamoja katika zoezi hili la katiba mpya na tusikubali kupotoshwa na wanaojiita wanaharakati. Wanayoyasema na kuyafanya ni sehemu ya ajira zao na bila kufanya hivyo hawapati fedha kutoka kwa wanaowatuma.
 
Ni kawaida ya wapiga debe/tarumbeta duniani. They shout aloud to get heard and gain popularity. Baada ya hapo
wananunuliwa (accommodated) na elite class, na wanageuza tarumbeta zao upsidedown. Kwa hiyo Kibamba hana tofauti
na wengine. Juzi anamponda rais na mchakato wake kuelekea katiba mpya, leo asubuhi anawahi press kumpongeza kwa
aliyoyasema jana jioni-lol! Kesho asubuhi sijui atakwenda wapi ku-shout shout.

Watu hawa kule Ugiriki wakati wa Plato na Socrates waliitwa sophists. Ni wataalamu wa malumbano na upotoshaji. Wanaweza kukuambia "black is white" na ku-difend msimamo huo. Tuachane nao tufuate sheria.
 
Lazima katishiwa nyau na inawezekana angalizo pia limetolewa la Mwandosya na Mwakyembe,kwa vile kwa jinsi ninayvomfahamu Deus na hotuba za Kikwete sioni uwezekano katika hali ya kawaida wa Deus kusifia any of Kikwete's speeches.Deus is a very inteligent fellow.Hapa lazima kuna jambo.

Deus ni mkweli, jana amepata uhalisia wa JK kuhususiana na nia yake ya dhati kuwaachia watz zawadi ya KATIBA MPYA kabla hajatoka madarakani 2015. Binadamu twatakiwa tubadilike kulingana na mazingara HIVYO DEUS kawa muwazi WANANCHI tuondoe hofu na kwenda kushiriki katika mchakato wa kupata KATIBA MPYA.
 
Hotuba ya Jana imemkuna Deus Kibamba na anasema:

1. Rais ana dhamira ya dhati ya watz kupata KATIBA Mpya

2. Watanzania wote kushiriki katika mchakato wa Kupata KATIBA MPYA

3. Maandamano si njia muafaka kufikia KATIBA MPYA.

Details angalia Channel Ten muda huu

Pilau za asubuhi zina matatizo. Kiporo cha sabasaba nini? Unalisha mtu kitu asichokisema!
 
Hivi ninyi mnadhani Kibamba ndo aliekuwa anataka Katiba mpya au ni wananchi?Ni upuuzi kutaka kutusadikisha kuwa hotuba ya JK ni nzuri kwa kigezo cha Kibamba kuikubali,wala sina muda wa kufikiria hivyo,mimi msinijua kama mnavyomjua Kibamba nasema hivi jana katika hotuba ile ya wana ccm hakuna kitu hapo,na wala hata kama ni kweli Kibamba kaisifu hiyo katiba msitegemee kuna kitu kitabadilika kwa wapenda maendeleo.Ni ujinga wa hali ya juu kutuwekea post hii kwa lengo la kudhani mtadhoofisha machungu tulionayo juu ya kile tunachofanyiwa kuandika katiba mpya
 
Hotuba ya Jana imemkuna Deus Kibamba na anasema:

1. Rais ana dhamira ya dhati ya watz kupata KATIBA Mpya

2. Watanzania wote kushiriki katika mchakato wa Kupata KATIBA MPYA

3. Maandamano si njia muafaka kufikia KATIBA MPYA.

Details angalia Channel Ten muda huu

Hapa kuna mawili, either umetumwa na CCM au una shida katika kuelewa. Hata mimi nimetoka kuangalia Channel Ten ila kwa ukweli sijui haya uliyoyaorodhesha hapa umeyapata wapi. Nakushauri kuwa mkimya kila unapokosa cha kuongea kwani uongo hauna mashiko walipokaa watu wenye akili zao.
 
Ni kawaida ya wapiga debe/tarumbeta duniani. They shout aloud to get heard and gain popularity. Baada ya hapo
wananunuliwa (accommodated) na elite class, na wanageuza tarumbeta zao upsidedown. Kwa hiyo Kibamba hana tofauti
na wengine. Juzi anamponda rais na mchakato wake kuelekea katiba mpya, leo asubuhi anawahi press kumpongeza kwa
aliyoyasema jana jioni-lol! Kesho asubuhi sijui atakwenda wapi ku-shout shout.

Watu hawa kule Ugiriki wakati wa Plato na Socrates waliitwa sophists. Ni wataalamu wa malumbano na upotoshaji. Wanaweza kukuambia "black is white" na ku-difend msimamo huo. Tuachane nao tufuate sheria.
Kufuata sheria ni pamoja na kumkubali Rais wetu hadi 2015 tutakapo chagua mwingine wa Chama chochote, pia kufuata sheria ni pamoja na kuyakubali aliyoyasema kuhusu katiba mpya.
 
Huyu dogo anachonga kama amemeza redio..amewachota akili wadanganyika sasa wameacha kujadili katiba wanaanza kumjadili yeye! Typical Danganyikaland the land of blah blah and non-issues.
 
Nyie subirini tu moto uwake haya mtakuwa mnasimuliana chumbani na babu zenu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom