lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
- Thread starter
- #21
Ana matatizo ya akili na pepo wa Ngono. Sishauri ujinga. Kwani yeye hivyo alivyo leo ndio alikua hivyo siku zote? awapunguze na nduguze basi au tuseme hana ndugu wanene? Nao waache kutokana na unene wao? watu wa namna hii huhitaji bakora tu.
Shwaini kabisa. Ameniudhi mno na sio ukute anakujengea mazingira ya kukutafuna mwenyewe
Hahahaaaaaaaaaaaa! I wish ungempa LIVE BILA CHENGA kama hii yako. Mie pia SIMUUNGI MKONO! Ila mambo ya SEX yanaenda kwa hisia, na yeye hisia hana!!!! Ndo zimekata hivooooo! Inawezekana KAISHIWA TU HAMU NA MWENZIE ila kaamua kuushushia ubonge nyanya lawama!!!!!!!! Toeni vitu vitakavommotivate abakie kwenye hilo unganiko takatifu manake Bakora hazimsimamishi babu! LOL!
Mi naona MTU AKIKUCHOKA/UKIMCHOKA MTU bora umwache kwa amani kama imeshindikana, coz kujilazimisha ni kumtesa asie na hatia!!!!!!! MTAFUTA SABABU HAKOSI SABABU!!!!!! Hata akipungua atakuja na lengine bora kuamuacha tu baaaaaass!