Leo trh 1/12 ni maadhimisho ya siku ya ukimwi Duniani, kwa Tanzania maadhimisho hayo yatafanyika katika Mkoa wa Mbeya.
Zaidi ya miaka 40 sasa tangu ugonjwa huu hatari uibuke, hadi sasa Ukimwi hauna dawa wala kinga.
UKIMWI umeendelea kuwa ugonjwa hatari zaidi duniani kuliko ugonjwa wowote ule.
Kundi ambalo limeathirika na Ukimwi ni rika la vijana kuanzia umri wa miaka 15 hadi 49, wasichana ndio kundi lililo athirika zaidi.
Mikoa hatari ambayo inamaambukizi makubwa ya Virusi vya Ukimwi ni;
Njombe, Iringa, Mbeya, Mwanza, Kagera, Katavi, Shinyanga, Songwe, Ruvuma, Pwani, Tabora, Tanga, Dodoma na Geita.
hiyo ndio Mikoa inayo ongoza kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi ya UKIMWI.
wanao ishi kwenye mikoa hiyo chukueni tahadhari ili kuepuka Maradhi haya hatari.
Tuchukue tahadhari Ukimwi unauwa.
Twendeni TUKAPIME tujue hali zetu.
Zaidi ya miaka 40 sasa tangu ugonjwa huu hatari uibuke, hadi sasa Ukimwi hauna dawa wala kinga.
UKIMWI umeendelea kuwa ugonjwa hatari zaidi duniani kuliko ugonjwa wowote ule.
Kundi ambalo limeathirika na Ukimwi ni rika la vijana kuanzia umri wa miaka 15 hadi 49, wasichana ndio kundi lililo athirika zaidi.
Mikoa hatari ambayo inamaambukizi makubwa ya Virusi vya Ukimwi ni;
Njombe, Iringa, Mbeya, Mwanza, Kagera, Katavi, Shinyanga, Songwe, Ruvuma, Pwani, Tabora, Tanga, Dodoma na Geita.
hiyo ndio Mikoa inayo ongoza kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi ya UKIMWI.
wanao ishi kwenye mikoa hiyo chukueni tahadhari ili kuepuka Maradhi haya hatari.
Tuchukue tahadhari Ukimwi unauwa.
Twendeni TUKAPIME tujue hali zetu.