MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Is it possible that more Tanzanians have died at the hand of the State up to this time than during Mkapa's twIo terms.?
Wanasheria watusaidie katika hili jamani halifai kufumbia macho kwani nchi nzima itaonekana hakuna watu au kuonekana hatujui kitu.
Akina Kiwanga na rafiki yangu Harold Sungusia ondoeni hii aibu kwa kuitolea tamko la sivyo mipaka na miiko na utu umekiukwa kwa kiwango kisichotamkika.
Polisi siyo tu wamejiweka juu ya kila sheria lakini wamedharau watanzania kwa kufanya uhalifu ambao haujawahi fanywa mahali popote duniani.
Mbona ndugu wa marehemu katika nchi zenye vurugu kama Libya, yemeni, Syria, Bahrain n.k huruhusiwa kuchukua miili ya ndugu zao iweje hapo Tarime Polisi waingilie hili zoezi nyeti kwa wafiwa?