Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
umenidiscraib wapi mbna cjaona???
hapo hapo ulipo diskraibu
umenidiscraib wapi mbna cjaona???
Take 5,Next 7 kisha 15.
Hv Nicas Wifi yangu nani vile?
Au muhudumu wa pale Break Point?
my wasu! umenifanya nizungumze kihispanyola. . . kumbe ndo alivo eeeh?
Yani shoga a'ngu CL, Nicas Mtei hata hanogi,
kila Bar ana demu na kila Gest ana chumba chake maalum.
Me keshanitosha,khaaa!!
Teeenyaaaa,
Chumbani waishia Mlangoniiiiii
Mai wasu...nimeipendaje hiyo!.my wasu! umenifanya nizungumze kihispanyola. . . kumbe ndo alivo eeeh?
duh! Yani Swahiba ndo unataka kufa na mimi? Haya hvi we ulikuwa wa bar ip n ni gest ipi tulikuwa twalala? Au wewe ni wa pale machi machi? Au kamanyola? Nikumbushe please Madame B.
Nicas,unakataa?
Dah,
Ulivyotaja Kamanyola moyo wangu umelipuka lip!!
Afu huwezi taja Kamanyola bila kupataja Bakule!
Vp ndo mitaa ya kujidai nini?