mageta mageta
New Member
- Oct 6, 2014
- 4
- 3
.
mimi nilifungua account tatzo simu sikuwa nayo so unasemaje nije unipe kadi tukamaliziee usaihiliHabari wana JF
Dereva wa uber anahitajika awe na vigezo vifuatavyo
1. Mzoefu wa kazi
2. Ana uber account active/kama huna account usipige simu
3. Mkazi wa Dar es salaam
Piga number 0746107191/0656735641
habari kaka! mimi hapa nina uzoefu wa miaka mitatu naishi kunduchi.na account yangu ipo active.bado nafasi ipo?Habari wana JF
Dereva wa uber anahitajika awe na vigezo vifuatavyo
1. Mzoefu wa kazi
2. Ana uber account active/kama huna account usipige simu
3. Mkazi wa Dar es salaam
Piga number 0746107191/0656735641
Kubeba magendo umeacha??habari kaka! mimi hapa nina uzoefu wa miaka mitatu naishi kunduchi.na account yangu ipo active.bado nafasi ipo?
kubeba magendo? umekosea kutuma huu ujumbe au!Kubeba magendo umeacha??