Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,821
Niko Kilwa Road naelekea Temeke. Kuna gari la serikali Toyota Land Cruiser, dereva wake anafanya fujo barabarani.
Aliomba apite mbele ya vitz ya mdada mmoja, dada kamnyima, anamtishia kumgonga, hakika hana etrhics za udereva wa serikali.
Aliomba apite mbele ya vitz ya mdada mmoja, dada kamnyima, anamtishia kumgonga, hakika hana etrhics za udereva wa serikali.