Dereva wa Osama Bin Laden Ahukumiwa miezi sita jela!

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
24,499
21,527
Taarifa ni kwamba dereva wa Bina laden amehukumiwa kwenda jela miaka mitano na nusu na kwasababu alishakaa Guantanamo Bay huko Cuba kwa miaka mitano...Basi anakuwa amebakiza kifungo cha miezi sita tu....Haijajulikana kama atakwenda nchi gani mara baada ya kutumikia kifungo chake hicho.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom