Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 578
Tunatafuta driver wa muda.
Kazi zitahusu kwenda kibaha (Misugusugu na kurudi) na hapa hapa mjini Dar kwenda huku na kule.
Awe muaminifu, gari zipo ndogo na Hilux 2.8 pickup iliyo choka choka (ya kuendea shamba).
Na akifanya vizuri kwa baadae anaweza pia kuhamia kwenye Fuso crane (permanent) kama ataweza na itapokamilika matengenezo yake (inafanyiwa repair) kwa mapatano mengine.
Malipo 10,000/= kwa siku.
Kama yupo aliye tayari ampigie Mzee Abdul 0756803528.
Hii kazi ni ya muda (temporary work).
Update 16-11-2015:
Wote mliotupigia simu asanteni sana.
Tumepata dereva tayari ni kati ya waliopiga simu.
Poleni kwa usumbufu tulikuwa tunahitaji dereva mmoja tu.
Kazi zitahusu kwenda kibaha (Misugusugu na kurudi) na hapa hapa mjini Dar kwenda huku na kule.
Awe muaminifu, gari zipo ndogo na Hilux 2.8 pickup iliyo choka choka (ya kuendea shamba).
Na akifanya vizuri kwa baadae anaweza pia kuhamia kwenye Fuso crane (permanent) kama ataweza na itapokamilika matengenezo yake (inafanyiwa repair) kwa mapatano mengine.
Malipo 10,000/= kwa siku.
Kama yupo aliye tayari ampigie Mzee Abdul 0756803528.
Hii kazi ni ya muda (temporary work).
Update 16-11-2015:
Wote mliotupigia simu asanteni sana.
Tumepata dereva tayari ni kati ya waliopiga simu.
Poleni kwa usumbufu tulikuwa tunahitaji dereva mmoja tu.