Dereva wa familia afumaniwa akimtoa usichana mtoto wa bosi

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Aug 4, 2014
1,637
457
Hayawai hayawi sasa yamekuwa!!!
Kijana mmoja mtaa wa jirani amefumaniwa akitoa bikra ya binti wa bosi wake. Imetokea mchana huu ndani ya gari ambayo kijana huyo huendesha.

Mtoto alikuwa geti kali maeneo ya Masaki na kama kawaida ya bosi huwa anarudi mchana kwa luch nyumbani...kumbe binti ana mawasiliano ya muda na kijana huyo kwa jina la Olimbi kwa njia ya Whatsapp, basi wakati mzee yupo ndani anakula, binti akanyemelea na kuzama ndani ya gari ambapo uzalendo ukawashinda na kujikuta wakivunja ile amri ya nane, binti akapiga mikelele...wenye nyumba wakatoka ndani wakidhani kuna mtu anamtendea unyama..mara wanaona gari inatingishika na ndipo walipofungua mlango na kukuta wameshachelewa maana bikra ndo hivyo imeshaondoka.

Habari zaidi baadae kwenye updates, kwa sasa kijana yupo polisi pale Osterbay kwa kosa la kutoa bikra.
 
Hayawai hayawi sasa yamekuwa!!!
Kijana mmoja mtaa wa jirani amefumaniwa akitoa bikra ya binti wa bosi wake. Imetokea mchana huu ndani ya gari ambayo kijana huyo huendesha.

Mtoto alikuwa geti kali maeneo ya Masaki na kama kawaida ya bosi huwa anarudi mchana kwa luch nyumbani...kumbe binti ana mawasiliano ya muda na kijana huyo kwa jina la Olimbi kwa njia ya Whatsapp, basi wakati mzee yupo ndani anakula, binti akanyemelea na kuzama ndani ya gari ambapo uzalendo ukawashinda na kujikuta wakivunja ile amri ya nane, binti akapiga mikelele...wenye nyumba wakatoka ndani wakidhani kuna mtu anamtendea unyama..mara wanaona gari inatingishika na ndipo walipofungua mlango na kukuta wameshachelewa maana bikra ndo hivyo imeshaondoka.

Habari zaidi baadae kwenye updates, kwa sasa kijana yupo polisi pale Osterbay kwa kosa la kutoa bikra.
Jifunze utunzi upya, kutowa bikra siyo kosa bali kubaka ndio kosa,habari yako haina ukweli wowote, kwanza masaki bikra itoke wapi?
 
Mzee Es na wengine! Nimefuatilia hoja zenu kwa makini, na hapa nitajaribu kujibu tu juu ya SAS.

a. Mtanzania ni nani? Je kila mtu mweusi anayeishi Tanzania ni Mtanzania? Je kila mtu mwenye kuchanganya damu si mtanzania? Kwa maoni yangu (na nadhani sheria iko upande wangu) Mtanzania ni yule mwenye kutimiza masharti yanayofahamika ya Uraia. Je SAS ni mtanzania kwa masharti hayo?

b. Je mwarabu anaweza kuwa Mtanzania kwa kuzaliwa na kwa kuchagua? Bila ya shaka! Je Mhindi anaweza kuwa mtanzania? Bila ya shaka! Tanzania na CCM wenyewe wameshakubali kuwa rangi si kitu tunao wahindi wengi na waarabu ambao leo hii wanawakilisha watu weusi kwenye Bunge!! Wamechaguliwa na watu kwa sababu ni Watanzania na wametumia haki yao hiyo. Tatizo la kukataa "kutaliwa na mwarabu" ni tatizo baya sana kwani linatokana na ubaguzi mtupu! Je Tanzania iko tayari kutawaliwa na Mchagga, Mnyakyusa, au Mhaya? Kuna watu watasema "Hapana! Hatuko tayari kutawaliwa na watu hao" Kisa na mkasa... ? ni makabila yao!!

c. Nakubaliana na wewe kwenye hoja ya SAS kwamba asitawale Tanzania kwa sababu moja tu nayo ni rekodi yake na sifa zake kama kiongozi!! Itakuwa ni kujidanganya kuwa mtu mweusi wa Tanzania basi ana uchungu zaidi na ana uwezo zaidi wa kuitawala nchi yetu! (Ushahidi unaonyesha vingenevyo). Kama SAS alikataliwa kwa sababu ya rekodi yake ya uongozi na historia yake kama kiongozi hiyo ni sawa, lakini kumkataa mtu kwa sababu ya rangi yake, ni uonevu mkubwa, kinyume na utanzania wetu, na zaidi ya yote ni kitendo cha kibaguzi ambacho watanzania tumeupinga tangu tuwe Taifa!! Ninawasihii wazee wenzangu tusianze leo ubaguzi huu... Kwa sababu mwisho itakuwa "Wahutu hawawezi kutawala nchi...let's kill em!"

d. SAS kukataliwa na Reagan, haituhusu, Reagan hakuwa Mpaka Mafuta wa Wafalme kama Nabii Samuel!! Hivi tukichagua viongozi wetu kwa kufuata baraka za wakubwa tutafika kweli? Miye binafsi sijali Reagan alionyeshwa nini kwenye faili la SAS ambaye aliwahi kuwa Rais wa Baraza la Umoja wa Mataifa. SAS alikataliwa na wakubwa sababu ya Uislamu wake na siyo Uarabu wake. Ndo maana hata wakati ulipofika kwa nchi za kiarabu kutoa Katibu Mkuu Mpya, hawakumtoa Muislamu bali Mwarabu Mkristu (Boutros Boutros Ghali)!
hahahahahaa....umeua mkuu!
 
jasiri sana huyo dereva sasa kibarua kinaOta nyasi na jela aspoangalia.... labda awe anajua siri za boss
 
Hayawai hayawi sasa yamekuwa!!!
Kijana mmoja mtaa wa jirani amefumaniwa akitoa bikra ya binti wa bosi wake. Imetokea mchana huu ndani ya gari ambayo kijana huyo huendesha.

Mtoto alikuwa geti kali maeneo ya Masaki na kama kawaida ya bosi huwa anarudi mchana kwa luch nyumbani...kumbe binti ana mawasiliano ya muda na kijana huyo kwa jina la Olimbi kwa njia ya Whatsapp, basi wakati mzee yupo ndani anakula, binti akanyemelea na kuzama ndani ya gari ambapo uzalendo ukawashinda na kujikuta wakivunja ile amri ya nane, binti akapiga mikelele...wenye nyumba wakatoka ndani wakidhani kuna mtu anamtendea unyama..mara wanaona gari inatingishika na ndipo walipofungua mlango na kukuta wameshachelewa maana bikra ndo hivyo imeshaondoka.

Habari zaidi baadae kwenye updates, kwa sasa kijana yupo polisi pale Osterbay kwa kosa la kutoa bikra.
Inaonekana hata Kanisa hujui mlango upo vipi...USIZINI NI AMRI YA SITA SI YA NANE...UPO?
 
Hayawai hayawi sasa yamekuwa!!!
Kijana mmoja mtaa wa jirani amefumaniwa akitoa bikra ya binti wa bosi wake. Imetokea mchana huu ndani ya gari ambayo kijana huyo huendesha.

Mtoto alikuwa geti kali maeneo ya Masaki na kama kawaida ya bosi huwa anarudi mchana kwa luch nyumbani...kumbe binti ana mawasiliano ya muda na kijana huyo kwa jina la Olimbi kwa njia ya Whatsapp, basi wakati mzee yupo ndani anakula, binti akanyemelea na kuzama ndani ya gari ambapo uzalendo ukawashinda na kujikuta wakivunja ile amri ya nane, binti akapiga mikelele...wenye nyumba wakatoka ndani wakidhani kuna mtu anamtendea unyama..mara wanaona gari inatingishika na ndipo walipofungua mlango na kukuta wameshachelewa maana bikra ndo hivyo imeshaondoka.

Habari zaidi baadae kwenye updates, kwa sasa kijana yupo polisi pale Osterbay kwa kosa la kutoa bikra.
Hayawai hayawi sasa yamekuwa
Umeanza kipumbavu kama sio kikike
 
Dah! dereva alikosea sana, Raha ya bikra ya masaki itolewe Kenya airways sio kwenye gari.

*Chai hizi mnatuswetisha bure na joto hili.
 
Hayawai hayawi sasa yamekuwa!!!
Kijana mmoja mtaa wa jirani amefumaniwa akitoa bikra ya binti wa bosi wake. Imetokea mchana huu ndani ya gari ambayo kijana huyo huendesha.

Mtoto alikuwa geti kali maeneo ya Masaki na kama kawaida ya bosi huwa anarudi mchana kwa luch nyumbani...kumbe binti ana mawasiliano ya muda na kijana huyo kwa jina la Olimbi kwa njia ya Whatsapp, basi wakati mzee yupo ndani anakula, binti akanyemelea na kuzama ndani ya gari ambapo uzalendo ukawashinda na kujikuta wakivunja ile amri ya nane, binti akapiga mikelele...wenye nyumba wakatoka ndani wakidhani kuna mtu anamtendea unyama..mara wanaona gari inatingishika na ndipo walipofungua mlango na kukuta wameshachelewa maana bikra ndo hivyo imeshaondoka.

Habari zaidi baadae kwenye updates, kwa sasa kijana yupo polisi pale Osterbay kwa kosa la kutoa bikra.
kwahiyo jamaa kaamua kufunga mwaka kwa kujilipa ujira wake
yeye mwenyewe maaana inaonekana binti alikuwa na ugumu mbaya
sasa kapata fursa....haya ndio matatizo ya geti kali "kuna mbwa mkali".
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom