Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,739
- 155,437
Gwaji naye ni bwana? Yule ni buzi. Kaniudhi sana kumkana Lowassa. Kanisa lake atabaki na Florah Mbasha watie adabubwana gani gwaji au wewe ama yesu
Gwaji naye ni bwana? Yule ni buzi. Kaniudhi sana kumkana Lowassa. Kanisa lake atabaki na Florah Mbasha watie adabubwana gani gwaji au wewe ama yesu
UMEPIGA KONYAGI MCHANA WWmma gwamyitu, jhika noma ijo ndema lema jumo ikulonda kutusyobha
Nimepiga damu ya Yesu a.k.a FursanaUMEPIGA KONYAGI MCHANA WW
wacha mambo ya Ki niajeNimepiga damu ya Yesu a.k.a Fursana
hiyo ndio bikra ya mwisho kwa mwaka 2015Hayawai hayawi sasa yamekuwa!!!
Kijana mmoja mtaa wa jirani amefumaniwa akitoa bikra ya binti wa bosi wake. Imetokea mchana huu ndani ya gari ambayo kijana huyo huendesha.
Mtoto alikuwa geti kali maeneo ya Masaki na kama kawaida ya bosi huwa anarudi mchana kwa luch nyumbani...kumbe binti ana mawasiliano ya muda na kijana huyo kwa jina la Olimbi kwa njia ya Whatsapp, basi wakati mzee yupo ndani anakula, binti akanyemelea na kuzama ndani ya gari ambapo uzalendo ukawashinda na kujikuta wakivunja ile amri ya nane, binti akapiga mikelele...wenye nyumba wakatoka ndani wakidhani kuna mtu anamtendea unyama..mara wanaona gari inatingishika na ndipo walipofungua mlango na kukuta wameshachelewa maana bikra ndo hivyo imeshaondoka.
Habari zaidi baadae kwenye updates, kwa sasa kijana yupo polisi pale Osterbay kwa kosa la kutoa bikra.
Kama juu ya kumi na nne nadhan alitakachini ya 18....
Jamani jamani watu wa forum hii wkt mwingine mnatuongezea maisha kwa kucheka yaani masaki watoto wetu wote hawana bikira. LolJifunze utunzi upya, kutowa bikra siyo kosa bali kubaka ndio kosa,habari yako haina ukweli wowote, kwanza masaki bikra itoke wapi?
hahahahaha masaka zote used unamanisha??Jifunze utunzi upya, kutowa bikra siyo kosa bali kubaka ndio kosa,habari yako haina ukweli wowote, kwanza masaki bikra itoke wapi?
Ni ya 7 wacha uongo juu ya uongoInaonekana hata Kanisa hujui mlango upo vipi...USIZINI NI AMRI YA SITA SI YA NANE...UPO?
nakutafuta sana flora nataka nkuone jamanijasiri sana huyo dereva sasa kibarua kinaOta nyasi na jela aspoangalia.... labda awe anajua siri za boss
Unanitafutia nn mie sina bikira ilishatolewa mwaka 47.....hahahahahahanakutafuta sana flora nataka nkuone jamani