Mugabe Jr
Senior Member
- Aug 19, 2020
- 160
- 286
- Thread starter
- #41
Habari za wakati huu ndugu zangu, Mimi ni dereva ambaye pia nina uzoefu wa kazi za sales na marketing. Nina leseni ya uendeshaji yenye madaraja D, E, C1,C2,C3,B.
Haiba yangu ni mtu mchangamfu, ninayejituma, muaminifu, mbunifu na mwenye ushawishi kwa wateja haswa. Hivyo kupitia mimi mauzo ya kampuni yataimarika maradufu.
Niko mbele yenu kuomba msaada wa nafasi ya kazi ambapo nitafanya majukumu yote nikiwa kama dereva na afisa masoko kwa wakati mmoja.
Iwe kampuni za gas
Vinywaji
Hata bidhaa nyinginezo
Naomba mwenye nafasi ya kazi au connection itakayonisaidia kupata kazi naomba anisaidie.
Niko tayari kuanza kazi hata kesho.
Na kipaumbele changu kitakuwa ni kuhakikisha mauzo ya bidhaa yanaongezeka maradufu, kwa kuongeza wateja wapya kila siku bila kuwapoteza wateja wa awali.
KWA SASA NAPATIKANA MWANZA NDUGU ZANGU. MUNGU AENDELEE KUWABARIKI.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Haiba yangu ni mtu mchangamfu, ninayejituma, muaminifu, mbunifu na mwenye ushawishi kwa wateja haswa. Hivyo kupitia mimi mauzo ya kampuni yataimarika maradufu.
Niko mbele yenu kuomba msaada wa nafasi ya kazi ambapo nitafanya majukumu yote nikiwa kama dereva na afisa masoko kwa wakati mmoja.
Iwe kampuni za gas
Vinywaji
Hata bidhaa nyinginezo
Naomba mwenye nafasi ya kazi au connection itakayonisaidia kupata kazi naomba anisaidie.
Niko tayari kuanza kazi hata kesho.
Na kipaumbele changu kitakuwa ni kuhakikisha mauzo ya bidhaa yanaongezeka maradufu, kwa kuongeza wateja wapya kila siku bila kuwapoteza wateja wa awali.
KWA SASA NAPATIKANA MWANZA NDUGU ZANGU. MUNGU AENDELEE KUWABARIKI.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app