Dereva Basi la Kilimanjaro Express aliyesababisha ajali na kuua watu wanne, afutiwa leseni

Niliamini sana Kilimanjaro bus,

Imani ilipungua tarehe 14 December mwaka jana nilipokata tiketi nipandie mbeya mjini kiti kikauzwa mara mbili, ilikuwa fedheha kubwa,

Sasa dereva kafanya yake.

Nitapanda bus ipi tena
Probably kwenye visafar vyangu vingi nimepanda bus hii sababu nilikua sitaki mwendo wa kina Saul, newforce, Aboud Bovu etc

Halafu pia napenda customer care yake tofauti na huko newforce etc .........wadada wale na some "baitsii"

sasa doh.
 
ikikubalika
Mkuu when it comes to statutory interpretation, the issue is not how the law ought to be, but what the law is.
Kwa hiyo hapa ni kwamba what does the law says. Ukishaanza kusema ikikubalika tayari you're being emotional, maana that's your wish but not the provision of the law
 
Kwahiyo hawa waliondokewa na wazazi wao wewe utalisha fimilia zao? Kumbuka nae alovyosababisha ajali Kuna familia zinawategemea
 
Madereva wa sauli wawe makin siku wakisababisha ajali mfano wa hiyo adhabu watakayo kutana nayo ni kufutiwa lesen jumla maana wameshaonywa sana lakin wapi
 
Ukweli kwamba ameuwa watu wanne kwa uzembe wa kutisha..dereva kama huyu anastahili adhabu kali ili iwe fundisho kwa madereva wengine wa aina yake.. ikikubalika, ya kifungo cha maisha
Ingekuwa ajali inapotokea wa kwanza angekuwa dereva ajali nyingi za kizembe zingepungua kama hivi, sehemu hutakiwi kuovertake yeye anaovertake abiria wakipiga kelele anazila anaanza kuendesha mwendo wa harusi ili mfike usiku wa manane au Asubuhi
 
Madereva wa sauli wawe makin siku wakisababisha ajali mfano wa hiyo adhabu watakayo kutana nayo ni kufutiwa lesen jumla maana wameshaonywa sana lakin wapi
Hao nikuwakabidhi kwa nyapara tu miezi mitatu inatosha akiokota sabuni anayo siku akirudi barabarani akili imemrudi
 
Kama alivyosema mdau wa kwanza hapo juu, huyo dereva alipewa muda wa kutosha kupumzika, au bosi analazimisha tu mtu apige route 7 days a week?
 
Mkuu when it comes to statutory interpretation, the issue is not how the law ought to be, but what the law is.
Kwa hiyo hapa ni kwamba what does the law says. Ukishaanza kusema ikikubalika tayari you're being emotional, maana that's your wish but not the provision of the law
Asante kuniongoza vyema Mkuu.. lakini Je, statutory provisions huwa hazina uwezekano kabisa wa kubadilishwa kuendana na hali halisi? Kama hivi Uzembe uliokithiri wa madereva kusababisha vifo?
 
Asante kuniongoza vyema Mkuu.. lakini Je, statutory provisions huwa hazina uwezekano kabisa wa kubadilishwa kuendana na hali halisi? Kama hivi Uzembe uliokithiri wa madereva kusababisha vifo?
Mahitaji ya wakati yanaruhusu sheria kubadilishwa. Lakini sheria huibadilishii mahakamani. Lazima hayo mabadiliko yakafanywe bungeni. Leo hii huyo dereva huwezi tu kumshtaki kwa sheria ambayo haipo. Kumbuka there's no crime without the law. Kosa lazima litamkwe na sheria
 
Panda mwewe tu bibie nishakuambia uwe unanipigia
Niliamini sana Kilimanjaro bus,

Imani ilipungua tarehe 14 December mwaka jana nilipokata tiketi nipandie mbeya mjini kiti kikauzwa mara mbili, ilikuwa fedheha kubwa,

Sasa dereva kafanya yake.

Nitapanda bus ipi tena
 
Mahitaji ya wakati yanaruhusu sheria kubadilishwa. Lakini sheria huibadilishii mahakamani. Lazima hayo mabadiliko yakafanywe bungeni. Leo hii huyo dereva huwezi tu kumshtaki kwa sheria ambayo haipo. Kumbuka there's no crime without the law. Kosa lazima litamkwe na sheria
Agreed.. inaonekana wazi kuwa ni muda muafaka wa kuchukua hatua stahiki kuhusiana na sheria na adhabu kwa madereva wazembe.. kwa kuchakata maboresho inavyopasa.. kuendana na wakati na trend ya ajali na vifo vitokanavyo na UZEMBE wa baadhi ya madereva.
 
Mkuu......

Adhabu huwa siyo discretion ya Hakimu au Jaji. Sheria ndiyo inayotamka aina fulani ya kosa adhabu yake ni nini. You seem to be very emotional lakini hujawaza kuhusu laws and facts regarding the case at hand

Hiyo ndiyo Tanzania kila mtu anajua ..
 
Hiyo adhabu ni kubwa sana na ni imani yangu kwamba aliyeitpa amekurupuka. Huyu mtu ana familia, ndugu wanamtegemea kwa chakula, mavazi, matibabu, karo za shule na mengine mengi.

Kumfutia leseni kutaleta dhiki kubwa kwa wanafamilia na hata yeye mwenyewe.

Nawashauri mamlaka husika kulifikiria upya jambo hili na ikiwezekana imfungie leseni yake kwa kipindi kama sheria inavyosema na siyo kimfutia leseni yake.

Ajali zinatokea kila siku na haziwezi kuzuiwa kwa kuwafutia madereva leseni zao
Kaa ukijua, hiyo ni adhabi ya polisi tu. Huyo anakwenda hela kwa mauaji na kujeruhi. Hivyo vyovyote iwavyo, hataweza kuhudumia familia.
 
Kaa ukijua, hiyo ni adhabi ya polisi tu. Huyo anakwenda hela kwa mauaji na kujeruhi. Hivyo vyovyote iwavyo, hataweza kuhudumia familia.
Mkuu unazijua traffic cases? Hivi unajua anaweza kupigwa faini ya elfu themanini na kufungiwa leseni kwa kipindi kifupi tu?
Traffic offences ukikutwa na hatia mahakamani zina penalties ndogo sana
 
Back
Top Bottom