Hivi karibuni kumekuwa na mtindo wa vyombo vya habari kutoa habari vikielezea watu mbalimbali ambao wamesoma mpaka ngazi za shahada au uzamili wakifanya shughuli ambazo hata darasa la saba anafanya.
Tunadhani wadogo zetu watahamasika kusoma mpaka katika level hizi kwa mazingira haya au itawakatisha tamaa?? Binafsi naona kama kutakuwa na changamoto kubwa mbeleni kuhusiana na watu kuhamasika na elimu!
Tunadhani wadogo zetu watahamasika kusoma mpaka katika level hizi kwa mazingira haya au itawakatisha tamaa?? Binafsi naona kama kutakuwa na changamoto kubwa mbeleni kuhusiana na watu kuhamasika na elimu!