Dereva aliyesababisha ajali ya Wangwe aachiliwa huru; kesi haikufunguliwa mahakama sahihi!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
Monday, 05 March 2012 22:55
digg

By The Citizen Correspondent
Dodoma. The Court of Appeal in Dodoma yesterday set free the 27-year-old Deus Mallya who was earlier convicted of driving a car without a valid licence and driving recklessly, causing an accident that killed the then Member of Parliament for Tarime on the ticket of Chadema, Mr Chacha Wangwe.

Court of Appeal Judges Harold Nsekela, Natalia Kimaro and Bernard Luanda quashed an earlier judgment passed by the Dodoma Resident Magistrate’s Court.
The deputy Registrar of the Court of Appeal for the Central Zone, Mr Maxmillian Malewo, said one of the reasons for quashing the judgement was that the case was supposed to have been filed at Kongwa District Court and not at Dodoma Resident Magistrate’s Court.

He said since the case involved a traffic accident and not murder it was supposed to be filed at a District Court and not at a Resident Magistrate Court. Mr Malewo said the contradiction would serve as an example in future cases where people are wrongly sentenced to serve jail terms.

Malya was convicted on March 18, 2008, of driving a car without a valid licence and driving recklessly. He was sentenced to three years in jail by the then Dodoma District resident magistrate Thomas Simba.

Following the judgement, Mallya appealed to the Court of Appeal. The accident that killed Mr Wangwe occurred on July 28, 2008, at Panda Mbili in Kongwa District in Dodoma Region.


 
Kwani wakati ana appeal alipewa bail pending appeal?
Mana kama ni la,mbona ameshaserve hiyo miaka yake si wamesema tangu 2008 ama sjaelewa fresh?
Hiyo judgement ni useful kwa precedent tu lakn kimsingi kashaserve muda mrefu ndani
 
Pamoja na kuwa keshaserve ndan muda ila ni furaha sasa kuwa huru zaidi.. Nadhan kuna mambo ya kisheria yalikuwa hayajakamilika. Now its over.
 
Pamoja na kuwa keshaserve ndan muda ila ni furaha sasa kuwa huru zaidi.. Nadhan kuna mambo ya kisheria yalikuwa hayajakamilika. Now its over.

Kazi aliyotumwa ameifanya na atakuwa huru, justice not served.
 
Kama kuna identical behavior hapa bongo basi ni SHERIA na METHALI.

METHALI za Kiswahili:
1. Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako (haraka haraka haina baraka)
2. Ngoja ngoja inaumiza matumbo (kawia ufike)
Ndio zetu hizo, inatumika inayovutia upande wetu mara tuwambapo.

SHERIA za Tanzania:
1. Deus Mallya kaendesha gari kizembe, kasababisha kifo cha mtu mmoja; Jela miaka mi3
2. Andrew Chenge kaendesha gari kizembe kasababisha vifo vya watu wawili; Faini laki 7
3. Deus Mallya kaendesha gari bila leseni (sio leseni inayoendesha gari kwa ustadi); kavunja sheria na adhabu kali ikachukuliwa
4. Andrew Chenge kaendesha gari bila BIMA (bima ndio ingewafidia ndugu wa marehemu); alivunja sheria, lkn adhabu ndio ile

Hapa utaona kuwa mshtakiwa wa kesi ya pili ana makosa mengine zaidi;
1. Akiwa kama mwanasheria, anafahamu fika kuwa kughushi ni kosa: Alighushi bima na kuibandika kwenye gari lake
2. Akiwa kama mwanasheria anajua wazi kuwa kuidanganya mahakama ni kosa; yet still alipanua mdomo kusisistiza kuwa bima ile ni ya ukweli

Hapa ndio nawashangaa ndugu zangu mnaopinga maandamano na kutushauri tufuate taratibu; kwa sheria hizi zenye double standards au kwa zile za Mungu?
 
Kama kuna identical behavior hapa bongo basi ni SHERIA na METHALI.

METHALI za Kiswahili:
1. Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako (haraka haraka haina baraka)
2. Ngoja ngoja inaumiza matumbo (kawia ufike)
Ndio zetu hizo, inatumika inayovutia upande wetu mara tuwambapo.

SHERIA za Tanzania:
1. Deus Mallya kaendesha gari kizembe, kasababisha kifo cha mtu mmoja; Jela miaka mi3
2. Andrew Chenge kaendesha gari kizembe kasababisha vifo vya watu wawili; Faini laki 7
3. Deus Mallya kaendesha gari bila leseni (sio leseni inayoendesha gari kwa ustadi); kavunja sheria na adhabu kali ikachukuliwa
4. Andrew Chenge kaendesha gari bila BIMA (bima ndio ingewafidia ndugu wa marehemu); alivunja sheria, lkn adhabu ndio ile

Hapa utaona kuwa mshtakiwa wa kesi ya pili ana makosa mengine zaidi;
1. Akiwa kama mwanasheria, anafahamu fika kuwa kughushi ni kosa: Alighushi bima na kuibandika kwenye gari lake
2. Akiwa kama mwanasheria anajua wazi kuwa kuidanganya mahakama ni kosa; yet still alipanua mdomo kusisistiza kuwa bima ile ni ya ukweli

Hapa ndio nawashangaa ndugu zangu mnaopinga maandamano na kutushauri tufuate taratibu; kwa sheria hizi zenye double standards au kwa zile za Mungu?
Duh Wewe mkariii !!
 
Monday, 05 March 2012 22:55
digg

By The Citizen Correspondent
Dodoma. The Court of Appeal in Dodoma yesterday set free the 27-year-old Deus Mallya who was earlier convicted of driving a car without a valid licence and driving recklessly, causing an accident that killed the then Member of Parliament for Tarime on the ticket of Chadema, Mr Chacha Wangwe.

Court of Appeal Judges Harold Nsekela, Natalia Kimaro and Bernard Luanda quashed an earlier judgment passed by the Dodoma Resident Magistrate's Court.
The deputy Registrar of the Court of Appeal for the Central Zone, Mr Maxmillian Malewo, said one of the reasons for quashing the judgement was that the case was supposed to have been filed at Kongwa District Court and not at Dodoma Resident Magistrate's Court.

He said since the case involved a traffic accident and not murder it was supposed to be filed at a District Court and not at a Resident Magistrate Court. Mr Malewo said the contradiction would serve as an example in future cases where people are wrongly sentenced to serve jail terms.

Malya was convicted on March 18, 2008, of driving a car without a valid licence and driving recklessly. He was sentenced to three years in jail by the then Dodoma District resident magistrate Thomas Simba.

Following the judgement, Mallya appealed to the Court of Appeal. The accident that killed Mr Wangwe occurred on July 28, 2008, at Panda Mbili in Kongwa District in Dodoma Region.



Kwa hiyo hukumu imebatilishwa kwa sababu sio murder na filing yake ilifanyika kwenye mahakama sio sahihi? Hivi tofauti ya traffic case na murder au manslaughter baada ya dereva kugonga na kuua ni ipi?
 
Thank you for this useful post
Kama kuna identical behavior hapa bongo basi ni SHERIA na METHALI.

METHALI za Kiswahili:
1. Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako (haraka haraka haina baraka)
2. Ngoja ngoja inaumiza matumbo (kawia ufike)
Ndio zetu hizo, inatumika inayovutia upande wetu mara tuwambapo.

SHERIA za Tanzania:
1. Deus Mallya kaendesha gari kizembe, kasababisha kifo cha mtu mmoja; Jela miaka mi3
2. Andrew Chenge kaendesha gari kizembe kasababisha vifo vya watu wawili; Faini laki 7
3. Deus Mallya kaendesha gari bila leseni (sio leseni inayoendesha gari kwa ustadi); kavunja sheria na adhabu kali ikachukuliwa
4. Andrew Chenge kaendesha gari bila BIMA (bima ndio ingewafidia ndugu wa marehemu); alivunja sheria, lkn adhabu ndio ile

Hapa utaona kuwa mshtakiwa wa kesi ya pili ana makosa mengine zaidi;
1. Akiwa kama mwanasheria, anafahamu fika kuwa kughushi ni kosa: Alighushi bima na kuibandika kwenye gari lake
2. Akiwa kama mwanasheria anajua wazi kuwa kuidanganya mahakama ni kosa; yet still alipanua mdomo kusisistiza kuwa bima ile ni ya ukweli

Hapa ndio nawashangaa ndugu zangu mnaopinga maandamano na kutushauri tufuate taratibu; kwa sheria hizi zenye double standards au kwa zile za Mungu?
 
tamthilia ya Malya kwanza huyu jamaa Kaishi hotel mpaka siku ya kutoka,Na watumishi waliokuwa wana mhudumia hapo hotelini ni jiran...gerezan kakaa muda mchache.
 
Kama kuna identical behavior hapa bongo basi ni SHERIA na METHALI.

METHALI za Kiswahili:
1. Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako (haraka haraka haina baraka)
2. Ngoja ngoja inaumiza matumbo (kawia ufike)
Ndio zetu hizo, inatumika inayovutia upande wetu mara tuwambapo.

SHERIA za Tanzania:
1. Deus Mallya kaendesha gari kizembe, kasababisha kifo cha mtu mmoja; Jela miaka mi3
2. Andrew Chenge kaendesha gari kizembe kasababisha vifo vya watu wawili; Faini laki 7
3. Deus Mallya kaendesha gari bila leseni (sio leseni inayoendesha gari kwa ustadi); kavunja sheria na adhabu kali ikachukuliwa
4. Andrew Chenge kaendesha gari bila BIMA (bima ndio ingewafidia ndugu wa marehemu); alivunja sheria, lkn adhabu ndio ile

Hapa utaona kuwa mshtakiwa wa kesi ya pili ana makosa mengine zaidi;
1. Akiwa kama mwanasheria, anafahamu fika kuwa kughushi ni kosa: Alighushi bima na kuibandika kwenye gari lake
2. Akiwa kama mwanasheria anajua wazi kuwa kuidanganya mahakama ni kosa; yet still alipanua mdomo kusisistiza kuwa bima ile ni ya ukweli

Hapa ndio nawashangaa ndugu zangu mnaopinga maandamano na kutushauri tufuate taratibu; kwa sheria hizi zenye double standards au kwa zile za Mungu?

Useful post mkuu,thanks a lot
 
Hii Tanganyika viongozi na sheria laana tupu, yaani sijui tuombe dua ipi iwamalize wafe wote, Chacha mtetezi kamanda wao walimwua kwa wanachojua wao, sasa leo hii wanaleta stori gani ya kishetani, na kosa Mallya si amelifanya? Sasa tunatafuta nini hapo
 
Kama kuna identical behavior hapa bongo basi ni SHERIA na METHALI.

METHALI za Kiswahili:
1. Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako (haraka haraka haina baraka)
2. Ngoja ngoja inaumiza matumbo (kawia ufike)
Ndio zetu hizo, inatumika inayovutia upande wetu mara tuwambapo.

SHERIA za Tanzania:
1. Deus Mallya kaendesha gari kizembe, kasababisha kifo cha mtu mmoja; Jela miaka mi3
2. Andrew Chenge kaendesha gari kizembe kasababisha vifo vya watu wawili; Faini laki 7
3. Deus Mallya kaendesha gari bila leseni (sio leseni inayoendesha gari kwa ustadi); kavunja sheria na adhabu kali ikachukuliwa
4. Andrew Chenge kaendesha gari bila BIMA (bima ndio ingewafidia ndugu wa marehemu); alivunja sheria, lkn adhabu ndio ile

Hapa utaona kuwa mshtakiwa wa kesi ya pili ana makosa mengine zaidi;
1. Akiwa kama mwanasheria, anafahamu fika kuwa kughushi ni kosa: Alighushi bima na kuibandika kwenye gari lake
2. Akiwa kama mwanasheria anajua wazi kuwa kuidanganya mahakama ni kosa; yet still alipanua mdomo kusisistiza kuwa bima ile ni ya ukweli

Hapa ndio nawashangaa ndugu zangu mnaopinga maandamano na kutushauri tufuate taratibu; kwa sheria hizi zenye double standards au kwa zile za Mungu?
Thank you for useful post
Kile kitufe cha thanx sikioni ningekuwekea thanx kibao
 
Kama kuna identical behavior hapa bongo basi ni SHERIA na METHALI.

METHALI za Kiswahili:
1. Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako (haraka haraka haina baraka)
2. Ngoja ngoja inaumiza matumbo (kawia ufike)
Ndio zetu hizo, inatumika inayovutia upande wetu mara tuwambapo.

SHERIA za Tanzania:
1. Deus Mallya kaendesha gari kizembe, kasababisha kifo cha mtu mmoja; Jela miaka mi3
2. Andrew Chenge kaendesha gari kizembe kasababisha vifo vya watu wawili; Faini laki 7
3. Deus Mallya kaendesha gari bila leseni (sio leseni inayoendesha gari kwa ustadi); kavunja sheria na adhabu kali ikachukuliwa
4. Andrew Chenge kaendesha gari bila BIMA (bima ndio ingewafidia ndugu wa marehemu); alivunja sheria, lkn adhabu ndio ile

Hapa utaona kuwa mshtakiwa wa kesi ya pili ana makosa mengine zaidi;
1. Akiwa kama mwanasheria, anafahamu fika kuwa kughushi ni kosa: Alighushi bima na kuibandika kwenye gari lake
2. Akiwa kama mwanasheria anajua wazi kuwa kuidanganya mahakama ni kosa; yet still alipanua mdomo kusisistiza kuwa bima ile ni ya ukweli

Hapa ndio nawashangaa ndugu zangu mnaopinga maandamano na kutushauri tufuate taratibu; kwa sheria hizi zenye double standards au kwa zile za Mungu?

Tukiwa na watu kumi tu Tanzania kama wewe na mkapewa vitengo daima tutasogea. Umetulia na imetulia
 
Tusishangae sana kwa kuwa sheri zetu nyingi ni za kurithi toka kwa wakoloni!
 
"Malya was convicted on March 18, 2008, of driving a car without a valid licence and driving recklessly. He was sentenced to three years in jail by the then Dodoma District resident magistrate Thomas Simba.

Following the judgement, Mallya appealed to the Court of Appeal. The accident that killed Mr Wangwe
occurred on July 28, 2008, at Panda Mbili in Kongwa District in Dodoma Region"

Hapo kwenye RED ndio huwa nakubaliana na mtazamo wa Rais Mkapa juu ya uvivu wa waandishi wa habari Tanzania.
 
Back
Top Bottom