Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,133
Katika kudhihirisha damu nzito kuliko maji
yule dereva aliesababisha vifo vya kundi la 5stars amejisalimisha mwenyewe polisi
kamanda wa polisi wa mkoa wa moro adolphina chialo amesema dereva huyo juma hassan-31
alijisalimisha kituo cha jirani karibu na ajali ilipotokea, kamanda huyo amesema dereva huyo
ameshaandaliwa hati za mashtaka ikiwemo ya kuendesha gari kwa mwendo kasi,uzembe,kusababisha vifo vya wasanii na kutoroka baada ya ajali...hii ni taarifa tu kwa wale mliouwa watoto wenu ama kwa kuwanyonga ama kuwatupa wakafa
ama kufanya abortion ogopeni kitu kinaitwa damu huwa inasafiri hata kama si leo kesho na kama si keshokeshokutwa itakutesa milele daima mpaka ukiri kosa lako ...dadazangu soln ya mimba sio kutoa ama kuharibu mimba mlee mtoto wako
hujui atakutoa lini na wapi kimaisha
polen wafiwa mungu awape uvumilivu
yule dereva aliesababisha vifo vya kundi la 5stars amejisalimisha mwenyewe polisi
kamanda wa polisi wa mkoa wa moro adolphina chialo amesema dereva huyo juma hassan-31
alijisalimisha kituo cha jirani karibu na ajali ilipotokea, kamanda huyo amesema dereva huyo
ameshaandaliwa hati za mashtaka ikiwemo ya kuendesha gari kwa mwendo kasi,uzembe,kusababisha vifo vya wasanii na kutoroka baada ya ajali...hii ni taarifa tu kwa wale mliouwa watoto wenu ama kwa kuwanyonga ama kuwatupa wakafa
ama kufanya abortion ogopeni kitu kinaitwa damu huwa inasafiri hata kama si leo kesho na kama si keshokeshokutwa itakutesa milele daima mpaka ukiri kosa lako ...dadazangu soln ya mimba sio kutoa ama kuharibu mimba mlee mtoto wako
hujui atakutoa lini na wapi kimaisha
polen wafiwa mungu awape uvumilivu