Dereva afunguka maajabu ya njiani: Kukutana na watu hawana vichwa na wengine watupu

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,425
ff.jpg

Kutana na Allen Sherukinga ambaye yeye ni dereva magari makubwa na mabasi ya abiria mwenye uzoefu wa miaka 45 barabarani.

Anakuambia yeye hajawahi kupata ajali akiwa anaendesha gari kwa miaka yote hiyo lakini jambo ambalo leo anatueleza ni kuhusu matukio ambayo amekutana nayo barabarani wakati anaendesha gari.

Kwasasa Mzee Sherukinga ameshastaafu kuendesha magari makubwa yupo nyumbani kwake Lushoto Tanga akiendelea na bishara zake.

 
Mbona mambo ya kawaida,Usiku wa wsaa tisa nakaribia Nakaribiaa mlima Saranda...mwanzo nilifikitmri ni kiroba kimedondoka kutoka kwenye gari.

Kusogea zaidi nakaona sio kiroba kumbe ni mtu yuko ndani ya Sanda halafu anafurukuta
Mara akakaa ...wakati huo mimi nikajua ni mchezo ili nishangae wezi wadandie .

Mimi huwa muda wote natembea na Silaha nikashuka nikaenda nyuma ya tela sikuona mtu nyuma yagari nikarudi mbele sikumkuta yule kiumbe nikamuomba mungu nitatia gia Nikapanda Saranda mpaka Singida.

Visa vipo tena vingi wewe tembea drive usiku.
 
Mboma mambo ya kawaida,Usiku wa wsaa tisa nakaribia Nakaribiaa mlima Saranda...mwanzo nilifikitmri ni kiroba kimedondoka kutoka kwenye gari.

Kusogea zaidi nakaona sio kiroba kumbe ni mtu yuko ndani ya Sanda halafu anafurukuta
Mara akakaa ...wakati huo mimi nikajua ni mchezo ili nishangae wezi wadandie .

Mimi huwa muda wote natembea na Silaha nikashuka nikaenda nyuma ya tela sikuona mtu nyuma yagari nikarudi mbele sikumkuta yule kiumbe nikamuomba mungu nitatia gia Nikapanda Saranda mpaka Singida.

Visa vipo tena vingi wewe tembea drive usiku.
Duh huna uwoga mkuu hongera.
 
Mboma mambo ya kawaida,Usiku wa wsaa tisa nakaribia Nakaribiaa mlima Saranda...mwanzo nilifikitmri ni kiroba kimedondoka kutoka kwenye gari.

Kusogea zaidi nakaona sio kiroba kumbe ni mtu yuko ndani ya Sanda halafu anafurukuta
Mara akakaa ...wakati huo mimi nikajua ni mchezo ili nishangae wezi wadandie .

Mimi huwa muda wote natembea na Silaha nikashuka nikaenda nyuma ya tela sikuona mtu nyuma yagari nikarudi mbele sikumkuta yule kiumbe nikamuomba mungu nitatia gia Nikapanda Saranda mpaka Singida.

Visa vipo tena vingi wewe tembea drive usiku.
Una huruma sana ungempitia tu na tairi kumaliza biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukikutana na maiti au mtu wa ajabu usiku barabarani, usimkwepe, mgonge tu ndio usalama wako. Hata hivyo, kuepusha majanga, sali kwa jina la Yesu kabla hujaanza safari

Ni imani tu mimi kipindi cha miaka 90 ilikua ukitoka Manyoni kwenda Singida lazima upitie Itigi na barabara ilikuwa ni mbovu kwelikweli na haswa kwa gari la mizigo.

Nikia natembea polepole uziku wa saa Nne kama na nusu hakuna vijiji wala nyumba sehemu ile nikamuona mtoto wa kike kachakaa vumbi utasema hajaoga mwezi mzima nilikuwa nimepakia abiria tukaanza kuulizana huyu mtoto ametoka wapi?!

Mimi lile eneo nalijua nilishaona Simba nikasimamisha Gari nikamsogelea yule mtoto nikawa najari kumuuliza ...nyumbani kwenu ni wapi akawa ananiangalia tu.kila nikimsogelea na yeye anarudi nyuma..nikarudi kwenye gari nikaendelea na Safari wale abiria walikuwa wawili wakaanza kusema hao ni watoto waliogeuzwa kichawi

Kwa hiyo familia zao zinajua kuwa alishakufa...daaah!!!....nikasikitika sana kufika Itigi wale abiria na tandiboi wangu wakaanza kujisikia vibaya mara homa mara wanasikia harufu mbaya..lakini mimi sisikii chochote wakapendekeza tulale mpaka kesho yake mimi nikawa nasema hawa wanaogopa tu tukaamua kulala.
 
Mishale ya saa 8 hivi tuligonga mtu pande za mkenge mkuranga tukasimama na kukagua gari ila hakukua na damu wala mbonyeo wowote kwenye body na hata asubuhi tukiwa tunarudi tulisimama na kuliza wenyeji wa pale kama kuna msiba au ajili iliyoua usiku wa jana walidai hakuna
Mwaka jana napo msata to bagamoyo road ilitupasa kusimamisha gari kabsa kupisha msafara wa watu ukivuka barabara walikua wengi aysee
 
Mboma mambo ya kawaida,Usiku wa wsaa tisa nakaribia Nakaribiaa mlima Saranda...mwanzo nilifikitmri ni kiroba kimedondoka kutoka kwenye gari.

Kusogea zaidi nakaona sio kiroba kumbe ni mtu yuko ndani ya Sanda halafu anafurukuta
Mara akakaa ...wakati huo mimi nikajua ni mchezo ili nishangae wezi wadandie .

Mimi huwa muda wote natembea na Silaha nikashuka nikaenda nyuma ya tela sikuona mtu nyuma yagari nikarudi mbele sikumkuta yule kiumbe nikamuomba mungu nitatia gia Nikapanda Saranda mpaka Singida.

Visa vipo tena vingi wewe tembea drive usiku.


Yaani mtu anafurukuta yupo kwenye sanda...akakaa.

Wewe ukasimamisha gari ukashuka ukaenda nyuma ya gari....okay!
 
Yaani mtu anafurukuta yupo kwenye sanda...akakaa.

Wewe ukasimamisha gari ukashuka ukaenda nyuma ya gari....okay!
Ninavyokwambia ndio hivyo,pili mimi natembea na chuma kwa kuongezea tu sanda imufungwa kwa nje .ni mimi nimempiga full light na kama mita thathini.
 
Ni imani tu mimi kipindi cha miaka 90 ilikua ukitoka Manyoni kwenda Singida lazima upitie Itigi na barabara ilikuwa ni mbovu kwelikweli na haswa kwa gari la mizigo.

Nikia natembea polepole uziku wa saa Nne kama na nusu hakuna vijiji wala nyumba sehemu ile nikamuona mtoto wa kike kachakaa vumbi utasema hajaoga mwezi mzima nilikuwa nimepakia abiria tukaanza kuulizana huyu mtoto ametoka wapi?!

Mimi lile eneo nalijua nilishaona Simba nikasimamisha Gari nikamsogelea yule mtoto nikawa najari kumuuliza ...nyumbani kwenu ni wapi akawa ananiangalia tu.kila nikimsogelea na yeye anarudi nyuma..nikarudi kwenye gari nikaendelea na Safari wale abiria walikuwa wawili wakaanza kusema hao ni watoto waliogeuzwa kichawi

Kwa hiyo familia zao zinajua kuwa alishakufa...daaah!!!....nikasikitika sana kufika Itigi wale abiria na tandiboi wangu wakaanza kujisikia vibaya mara homa mara wanasikia harufu mbaya..lakini mimi sisikii chochote wakapendekeza tulale mpaka kesho yake mimi nikawa nasema hawa wanaogopa tu tukaamua kulala.
Nmesikitika sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mishale ya saa 8 hivi tuligonga mtu pande za mkenge mkuranga tukasimama na kukagua gari ila hakukua na damu wala mbonyeo wowote kwenye body na hata asubuhi tukiwa tunarudi tulisimama na kuliza wenyeji wa pale kama kuna msiba au ajili iliyoua usiku wa jana walidai hakuna
Mwaka jana napo msata to bagamoyo road ilitupasa kusimamisha gari kabsa kupisha msafara wa watu ukivuka barabara walikua wengi aysee
dooh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekumbuka mida ya saa nane usiku ndiyo kwanza tu nimeachana na Singida na kwenye gari niko mimi na rafiki yangu mmoja, ghafla hata bila mimi kujua nikajikuta nimehama upande na kuanza kupita upande wangu wa kulia huku gari linasoma 120 Km/hr na mbele yangu mita chache kuna Noah iko speed kama yangu nayo imekaa upande wa kulia, nahisi nilihamia huko baada ya ile Noah kuhamia kulia, mara ghafla kwa mbali( On the left hand side) naona mtu kalazwa Barabarani kwa haraka haraka ni kama kagogwa mda mchache uliyopita ajabu kafunikwa mwili mzima, dah nilipata vibrations mwili mzima lakini nikajikaza na bahati nzuri nilikuwa upande wa kulia so nikaongeza speed huku niko kimya ila navibrate hatari. Baada kama ya dakika tano navunja ukimya na kumuuliza mshikaji wangu, “ Oya dah umemwona yule mtu pale barabarani? Aisee kama tusingekuwa tumehamia kulia si ingekuwa hatari mwana? “
Jamaa yangu akanijibu
“ Oya mtu gani wewe? Acha kuzingua etii, kama umechoka tutafute mji karibu tulale mwana”.
Jamani usike ni noma jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mida ya saa tano usiku napandisha arusha,niko na mshikaji mmoja,kufika maeneo ya maimoria bums la kwanza kabisa kabla hujakata kona kuelekea sauti ya injili nikamwona mtu anavuka barabara,mwembamba mrefu kiasii,kavaa shati ya draft,kwa kua hatukua speed tukapunguza mwendo kumpisha avuke,ile amefika katikati akapotea,nikajua ni mimi mwenyewe nimemwona akipotea-yaani hakumalizia kile kipande cha bums kufika upande wa pili wa barabara, akavanish akiwa katikati ya barabara.
From there tukawa kimya hakuna aliemsemesha mwenzake,wakati tunajaza mafuta kituo cha panone,pale kimashuku,huku tukigonga serenget bariidii ndo jamaa akaniuliza Sonko vipi uliona mtu akivuka barabara alafu akapotea.Hapo ndo nikagundua haikua mbambaa jombaa !Ni kweli tulikutana na mtu wa ajabuu.

Sent using nokia ya torch
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom