labda alitumbuliwa vyeti! atakuwa hana hata ya bandoWanajamvi kuna mtu alishawahi kuniokotea Mtemi Deogratius Nalimi Pio Kisandu? Huyu mudau nilishampoteza siku nyingi sana!
Mtanesco anafurahisha lakini mpaka sasa bado sijamuona mtu wa kuziba pengo la Mtemi wetu Deogratius Nalimi wa Kisandu.Siku hizi humu yupo daktari wa meno huyu naye ukiwa na stress pitia nyuzi zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyu Mtanesco aliyekoseshwa kaz ya Udaktari mwenyewe anajiita Daktari wa Meno nafkiri kuna Nati flani kichwani mwake imelegea. Kiufupi niseme Dishi limeyumba chanel zote hazikamatiMtanesco anafurahisha lakini mpaka sasa bado sijamuona mtu wa kuziba pengo la Mtemi wetu Deogratius Nalimi wa Kisandu.
Maendeleo hayana chama