Deogratius Kisandu; Wee jamaa mbona kimya kingi?

ikigijo

JF-Expert Member
Aug 23, 2017
1,812
1,866
Aiee Mkuu nimekukumbuka tuu natafuta namna ya kuwasiliana na wewe kuna issue flani unishauri kuhusu masuala namna ya kufanya unapodhulumiwa na Rafiki yako kabisa na upanapoahidiwa cheo halafu usipewe...PAMOJA NA MASUALA MENGINE YA KIJAMII Kwa uzoefu wako wa huko ulikopita
uje Mkuu
 
Aiee Mkuu nimekukumbuka tuu natafuta namna ya kuwasiliana na wewe kuna issue flani unishauri kuhusu masuala namna ya kufanya unapodhulumiwa na Rafiki yako kabisa na upanapoahidiwa cheo halafu usipewe...PAMOJA NA MASUALA MENGINE YA KIJAMII Kwa uzoefu wako wa huko ulikopita
uje Mkuu
Deo Kisandu yuko analia. Kachoka kuandika malalamiko yake kaamua kufanya mgomo baridi. Full kulia hadi wamsikilize
 
Deo Kisandu yuko analia. Kachoka kuandika malalamiko yake kaamua kufanya mgomo baridi. Full kulia hadi wamsikilize
Bora aje Aisee siku kama ya leo ni muhimu sana kwake kuja jamvini....kumbe na wewe huwa unamkumbuka Mkuu...jamaa ni Nomaa aisee acha tuu hawezi kukuacha hivi hivi...
 
Bora aje Aisee siku kama ya leo ni muhimu sana kwake kuja jamvini....kumbe na wewe huwa unamkumbuka Mkuu...jamaa ni Nomaa aisee acha tuu hawezi kukuacha hivi hivi...
Jamaa yetu kisandu anatabia ya kupotea. Akiibuka kila mtu atatambua Deo kisandu anasema nini. Hata hivyo nampenda, ni msemakweli na husimamia anachikiamini
 
Si mara ya mwisho alikuwa ameweka picha za vyeti vyake sijui vya ubatizo, sijui vya kodi, sijui vya zake vilee nimesahau ila nakumbuka alikuwa ame attach ma nakala ya vyeti vyake Fulani hivi.
 
Aiee Mkuu nimekukumbuka tuu natafuta namna ya kuwasiliana na wewe kuna issue flani unishauri kuhusu masuala namna ya kufanya unapodhulumiwa na Rafiki yako kabisa na upanapoahidiwa cheo halafu usipewe...PAMOJA NA MASUALA MENGINE YA KIJAMII Kwa uzoefu wako wa huko ulikopita
uje Mkuu
Asije akawa naye alizama bahati mbaya baharini
 
Naskia amejiteka na anatumia ID fake kuanzisha movement za [HASHTAG]#BringbackourDeo[/HASHTAG] huko fb ili kujipa umaarufu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom