Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Ninakumbuka Omari Bongo alipopata kiharusi ilifanywa siri.
Hii ni tabia ya nchi zinaongozwa chini ya the one man sho style. Ni mpaka Chama Kikuu cha Upinzani kilipopiga kelele kuhusu uwezo wa Rais kuongoza nch ndipo Omar Bongo alitoka hadharani akiwa anachechemea na fimbo.
Hii ni tabia ya nchi zinaongozwa chini ya the one man sho style. Ni mpaka Chama Kikuu cha Upinzani kilipopiga kelele kuhusu uwezo wa Rais kuongoza nch ndipo Omar Bongo alitoka hadharani akiwa anachechemea na fimbo.