Deo Sanga akiri Rais Samia ni chaguo la Mungu mwenyewe

Kipindi cha Magu alisema aongoze hadi achoke Magufuli

Sasa Samia kama ni chaguo la Mungu ikiwa Magufuli hayupo, Deo mkiwa faragha atamsema vibaya Magufuli.

Njombe Kaskazini hakuna vijana wasomi 2025.Au wote ni chawa wa Deo
 
Back
Top Bottom