Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,248
- 13,827
Hiyo mbwa ilikuwa arrogant sana
Kuna watz wengine wana mpaka bilioni 200 kwenye account zao benki mbalimbaliHiyo hukumu haina mabadala wa kufungwa? maana ni heri kumalizia maisha kifungoni kuliko kuwaacha watoto maskini wa kupindikia
Deo na alaaniwe Milele na kizazi chake!
Dhulumati kubwa na jitu lililonyanyasa sana watz wenzalo pale Acacia.
Nyumbu wanafanya uamuzi gani kuvuka mto wenye mamba? WANA TARGET NA WANAJITOSA MTONI. Wengine wanadakwa na wengine wanaendeleza lengo. Pia corona hivo hivo tufanye kazi.Alikuwa anawalazimisha kwenda kufanya kazi? Hao walioenda, hawakuwahi kusikia kuwa wenzoa wamefia migodini?
Mission accomplished! TRA cum Kisutu Branch has of late become a major revenue collector.Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu leo imewahukumu aliyekuwa Rais wa Migodi ya Pangea, North Mara Exploration na Bulyanhulu, Deodatus Mwanyika na wenzake wawili, kulipa fidia ya TSh1.5 bilioni baada ya kupatikana na hati ya kukwepa kodi.
Imetoka wapi? Soma TAKUKURU yawakamata aliyekuwa makamu wa rais wa kampuni ya Acacia, Deo Mwanyika na Alex Lugendo
===
The Kisutu Resident Magistrate Court has today ordered the Pangea, North Mara Exploration and Bulyanhulu Gold Mines President Deodatus Mwanyika (56) and his co-accused to pay compesation of Sh 1.5billion after they were found guilty of tax evasion.
The court also ordered the trio to pay an additional fine of Sh1.5 million fines or serve a jail term of four months.
The Resident magistrate Godfrey Isaya arrived at the decision after the accused pleaded guilty through a plea bargain arrangement at the office of the DPP.
Others also convicted alongside Mr Mwanyika on economic crimes charges number 37 of 2018 included Bulyanhulu Corporate affairs manager, Alex Lugendo (43) and the managing director of Pangea, North Mara and Bulyanhulu mines, Assa Mwaipopo (57).
Before the judgment was reach the state led by Paul Kadushi , Shadrack Kimaro and Wankyo Simon, claimed the case had come for judgment after the accused entered a guilty plea with the Director of Public Prosecution.
Out of the 39 charges, the accused faced one charge of not paying taxes worth $9,309,600 to the Tanzania Revenue authority
Source: The Citizen
Roho zetu waswahili huzijui??Alikuwa anawalazimisha kwenda kufanya kazi? Hao walioenda, hawakuwahi kusikia kuwa wenzoa wamefia migodini?
Sijui kwa nini Watanzania wengi huwa wana roho za ajabu ajabu. Wengi wanafurahia aliyefanikiwa, tena kwa njia halali, akipatwa na mabaya.Roho zetu waswahili huzijui??
Watu tuliomba kazi wenyewe kisha tukaridhia mikataba tukasaini sisi mwenyewe tukiridhia vigezo na masharti, leo tunamlaumu Deo, kisa tu, alikuwa boss kama mabeberu na mshahara wa kibeberu.
Nilifanya kazi migodini na sub contractors sijawahi kuwa na shida na hao mabeberu. Ndiyo walitupa mishahara ikatupa heshima mjini ati!
Everyday is Saturday............................
Wengi walikuwa na mob mentality, walijiingiza kwenye makundi ya kihalifu, wizi wa mafuta, ulevi kazini, kutokutii kanuni za afya na usalama, walivunja cardinal rules, kwa makusudi!Sijui kwa nini Watanzania wengi huwa wana roho za ajabu ajabu. Wengi wanafurahia aliyefanikiwa, tena kwa njia halali, akipatwa na mabaya.
Deo alipoanza kazi Barrick, alikuwa Legal Manager. Kama Legal Manager, jukumu lake kubwa ilikuwa ni kutetea maslahi ya kampuni. Wewe mfanyakazi ukiishtaki kampuni, idara yake ndiyo ilikuwa na jukumu la kwenda kutoa defence kwa kampuni. Akifanya hivyo, wafanyakazi wale wasio na uelewa, chuki kwa Deo na wanasheria wake. Wao walitegemea mtu aliyeajiriwa kwaajili ya kuitetea kampuni, afike mahakamani aanze kumtetea aliyeishtaki Kampuni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wewe ni kilazakk
Hivi huyu nwanyika si alipata kuwa waziri enzi za mkapa au nafananisha jina?
Hela anayo au anajua nani atamlipia,vinginevyo asingeingia mkataba huo na mwanasheria wa serikali AG,anajua analofanya huwezi peleka maombi hayo kama unajua huna helaKiuhalisia, wamemtesa sana kwa kumweka mahabusu bila hatia.
Walisema anatuhumiwa kwa makosa 39, mojawapo uhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Mishowe wameishia kwenye kosa moja la kukwepa kodi. Hivi tuhuma ya kukwepa kodi haina dhamana? Au yale makosa 39 yote yalikuwa ya kumbambikia ili ateseke?
Najua Deo hana hiyo pesa. Wala hana nyumba au rasilimali nyingine yoyote nje ya nchi. Alicho nacho chote kipo nchini, na kikubwa kuliko vyote ni hotel ya pale Njombe. Watu kwa dhamira chafu, wanataka kuwaaminisha watu kuwa Deo ni tajiri sana, jambo ambalo ni uwongo mkubwa. Hata huko bank, wamefuatilia sana, hana pesa yoyote. Wala hana hela yoyote nje ya nchi. Na wala hakuna ndugu au rafiki yake yeyote wa karibu aliyethibitika labda kutumika na Deo kumhifadhia hela. TISS wamefanya kazi miaka 3 kumfuatilia, hakuna pesa yoyote ya maana waliyomkuta nayo.
Lakini kwa vile dhahama zote dhidi yake ilikuwa kuwaadibisha ACACIA baada ya kupeleka notice ya kutaka kuishtaki Serikali, ACACIA/Barrick watalazimika kuilipa hiyo fine.
Watanzania tuache chuki zisizo na msingi wowote.
Barrick wamlipie hiyo fine, maana ameteseka kwa sababu yao. Angalao baada ya mateso ya zaidi ya mwaka mzima, akaungane na famikia yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaaa labda wamlipie, kwani bado accounts zake ziko active na hawaja taifisha fedha zilizokuwa kwenye accounts zake kimya kimyaaaaa?Hiyo hela Mwanyika analipa bila shaka